Uhusiano kati ya Tanzania na Kenya kulikoni?

Simba zee 33

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
1,374
1,558
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

 
🤣🤣🤣🤣 nmecheka et labda tupate mtu wa ajabu sanaa, mpumbavu sanaa, ambapo Tanzania watu wao wapo wachache sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣, sasa huyo mtu wa ajabu tayari tushampata. Wakulima hali n tete, bei zinakatisha tamaaa, alafu et muuze kwa bei zenu😁 una shida alafu uuze mahind gunia moja elfu 90 uone tabu utakayo ipata. Utarud tuu kwenye bei zao wafanya biashara bila kupenda🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

Fedha ni kama maji yanayotiririka kutoka milima ya Uluguru. Hufuata mkondo wake mpaka yanapoingia baharini.
Utajitahidi kuyayumbisha au kuyazuia, mwisho wa siku utakuja kupata hasara na maji yataendelea kutiririka tu mpaka baharini.

Kama kununua mahindi Mexico na mpunga Vietnam kuna faida kwao, na matunda yetu hawayahitaji, basi hilo jambo haliepukiki. Ila kama kwa kufanya hivyo kunawanyima faida wakenya, hilo jambo pia haliepukiki.
 
Fedha ni kama maji yanayotiririka kutoka milima ya Uluguru. Hufuata mkondo wake mpaka yanapoingia baharini.
Utajitahidi kuyayumbisha au kuyazuia, mwisho wa siku utakuja kupata hasara na maji yataendelea kutiririka tu mpaka baharini.

Kama kununua mahindi Mexico na mpunga Vietnam kuna faida kwao, na matunda yetu hawayahitaji, basi hilo jambo haliepukiki. Ila kama kwa kufanya hivyo kunawanyima faida wakenya, hilo jambo pia haliepukiki.
Kwa Hali ya kawaida Vietnam na Mexico ni mbali sana isipokua Wafanyabiashara wa Kenya wanasema ni afadhali kuliko kununua Tanzania maana kuna kodi na vibali vingi vineongezwa ili kuwakomoa Wakenya maana waliliwa na nzige
 
🤣🤣🤣🤣 nmecheka et labda tupate mtu wa ajabu sanaa, mpumbavu sanaa, ambapo Tanzania watu wao wapo wachache sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣, sasa huyo mtu wa ajabu tayari tushampata. Wakulima hali n tete, bei zinakatisha tamaaa, alafu et muuze kwa bei zenu😁 una shida alafu uuze mahind gunia moja elfu 90 uone tabu utakayo ipata. Utarud tuu kwenye bei zao wafanya biashara bila kupenda🤣🤣🤣🤣🤣
Gunia la nini elfu 90 mkuu
Mahindi huku songwe gunia ni elfu 39 mpaka 40 na hakuna mnunuzi
 
Kama wanapata faida sawa, kama hawapati wataacha tu. Na Tanzania hivyohivyo.
Maji yatafuata tu mkondo wake.
Mkuu serikali ya Kenya haifanyibiashara
Sekta binafsi Ndio uti wa mgongo kule
Kwa hio Wafanyabiashara wa kule wanasema kutokana na ongezeko la kodi na vibali vya hapa na pale mazao na matunda ya Tanzania hayashikiki
 
Tuambie kwanza nani alianza kuchoma na kuwateketeza vifaranga mpakani pale Namanga??
Nani aliyekamata na kutaifisha mifugo ya majirani zake??
Sina uhakika na unachosema
Lakini mkulima ambae amelima manabasi hekta 20 Leo yanaozea shambani halafu unaleta story za vifaranga Sidhani kama atakuelewa
 
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

Wakulima ndio wanaoumia kabisa Kwa kuwazuia kuuza mazao ya nje ya nchi hii ni maumivu ya wakulima wa mahindi, mpunga n.k.
 
Habari wakuu,

Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.

Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.

Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.

Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.

Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?

Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk

Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:

Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k

Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.

Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?

Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.

Kikwete mwenyewe akiiona hii clip, atajifanya HAJAIONA huku ajijichekea kimya kimya chumbani kwake.
 
Mkuu serikali ya Kenya haifanyibiashara
Sekta binafsi Ndio uti wa mgongo kule
Kwa hio Wafanyabiashara wa kule wanasema kutokana na ongezeko la kodi na vibali vya hapa na pale mazao na matunda ya Tanzania hayashikiki
Hukuwa na haja ya kunielezea hilo.
 
acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
 
Back
Top Bottom