Kama ni hivyo ina maana tunarudi kwenye original post, je nani atawalipa?International independent investigation ssi Jeshi ni watu just Professionals sawa na hao Wachina wanaotujengea barabara.
Comment yako inahusiana vipi na maoni yangu? Kama hujanielewa ni kwamba Chadema wanapaswa kujijengea uwezo wa kukusanya taarifa za kiitelijinsia kwa manufaa ya Chama ....issue si kusema tu flani kahusika ....wanapaswa kwenda hatua zaidi ya hapo otherwise hili litaisha kama yalivyoisha ya nyuma kibao ...ndugu yangu,omba yasikutokee wewe maana kuna msemo unasema MSIBA USIKIE KWA MWENZIO.
nimetoa maoni hayo baada ya wewe kusema CHADEMA kuomba uchunguzi huru kwa kilichompata LISSU ni SIASA ZA KUPOTEZEANA MUDA.Comment yako inahusiana vipi na maoni yangu? Kama hujanielewa ni kwamba Chadema wanapaswa kujijengea uwezo wa kukusanya taarifa za kiitelijinsia kwa manufaa ya Chama ....issue si kusema tu flani kahusika ....wanapaswa kwenda hatua zaidi ya hapo otherwise hili litaisha kama yalivyoisha ya nyuma kibao ...
Polisi mkoani dodoma walikuwa na nafasi ya kumuhoji dreva wa Lissu kipindi bado akiwa nchini hawakufanya hivyo, mtu kafika Nairobi ndiyo wanasema anatakiwa kwa mahojiano!Vyombo vya usalama vitamkamata nani ikiwa mashahidi wa muhimu wote wapo Nairobi?
Kuna mda hutumiagi akili. hilo Ni changamoto? Ata mashahidi wangekuwa wamekufa upepelezi ungefanyika na wahusika wangepatikana think out of box.
Wauaji ni watu wenye mioyo migumu sana, ila kwa kuwa damu ya mwanadamu ni ya ajabu kupindukia always huwa wanajistukia!Tokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.
Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.
Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.
Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.
La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?
Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.
Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?
CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.
Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?
Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?
Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.
Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?
Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.
Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.
Jumapili njema.
Tokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.
Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.
Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.
Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.
La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?
Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.
Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?
CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.
Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?
Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?
Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.
Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?
Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.
Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.
Jumapili njema.
Wazungu sio kama wewe. Waite scotland yard kama kenya walivyofanya baada ya kifo cha Ouko uone wanavyoumbuka.Acha kuwa mpambe kwenye mambo ya ajabuTokea Mh. Lissu anusurike kwenye shambulio dhidi ya uhai wake siku ashara na kitu zilizopita, kumekuwepo na sauti kadhaa zinazodai au zinazotaka tukio hilo lichunguzwe na wachunguzi 'huru' kutoka nje ya nchi.
Sababu yake kubwa ni kwamba vyombo vya ndani [ya nchi] vya usalama haviko huru kuweza kufanya uchunguzi huo kwa sababu vyenyewe ndivyo vinavyoshukiwa kupanga na kutekeleza jaribio hilo ili kutimiza matakwa ya mtu au watu wa huko serikalini na kwenye CCM.
Hisia hizo [za kuishuku na kuituhumu] nazielewa. Hivyo watu wanaotaka kuona wachunguzi huru wakichunguza nao nawaelewa.
Ila, kuna vitu vinanitatiza kidogo kuhusu huo u huru wa hao wachunguzi na utayari wa kambi ya Lissu na kambi ya serikali kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi wao endapo utatokea.
La kwanza, ni nani atayeingia gharama za hao wachunguzi?
Tuseme CHADEMA na wafadhili wao ndiyo wataingia hizo gharama.
Kama hivyo ndo itavyokuwa, je, hao wachunguzi watakuwa huru kiasi gani ilhali wanalipwa na upande wa mnusurika wa jaribio?
CHADEMA kweli inaweza kuwalipa hao wachunguzi huru halafu hao wachunguzi watoe uchunguzi ambao ni kinyume na madai ya CHADEMA [kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya usalama ndiye mhusika]? Kama wataletwa na CHADEMA maana yake ni kwamba wao ni waajiriwa wa hicho chama. Akili yangu haioni ni jinsi gani hao wachunguzi huru wanaweza kutoa matokeo yaliyo kinyume na hisia za watu waliowaajiri.
Je, serikali nayo ipo tayari kweli kuyakubali matokeo ya hao wachunguzi huru ambao huenda wakalipwa na hicho chama pinzani?
Na vipi kwa mfano serikali ikubali ujio wa hao wachunguzi na iingie gharama kwa kazi watayoifanya, je, CHADEMA ipo tayari kuyapokea na kuyakubali matokeo ya huo uchunguzi hata kama yakiwa tofauti na vile wao wadhaniavyo?
Kumbuka, kama serikali ndiyo itayoingia gharama za hao watu maana yake ni kwamba watakuwa wanaitumikia serikali iliyopo madarakani ambayo ni ya CCM.
Kwa mtaji huo hao wachunguzi huru watakuwa wapo huru kiasi gani?
Hili suala ni gumu kwa kweli. Kila ninapowaza na kuwazua sipati majibu.
Sijui nyie wadau mnalionaje hilo suala.
Jumapili njema.
nikukumbushe tu,Zanzibar tu hapo alivyouawa PADRI waliwahi kuja.na ubalozi wa marekani ulivyolipuliwa waliwahi kuja hii unaizungumziaje?na vyombo vyetu ulivyovitaja vilikuwepo.Nakubaliana na hoja za Nyani Ngabu.
Pia hebu fikirieni:
Vyombo vya kijasusi vya Marekani na/au Uingereza vije Tanzania kuchunguza kama vyombo vya dola vya TZ (polisi, usalama wa taifa, n.k.) walihusika na shambulizi la Lissu? Are you guys nuts?
Ni nchi gani duniani itaruhusu vyombo vya kijasusi vya taifa jingine waje wapeleleze mfumo wao wa ulinzi na usalama?
Halafu unawasikia viongozi wa juu kabisa wa CDM, ambao wanawania kuja kuiongoza TZ siku moja, wanaishauri serikali iruhusu huu ujinga.
CDM, you guys are not ready for prime time. Subirini miaka kadhaa ili mkomae kisiasa. Pathetic!
Walikuja kuchunguza mauaji ya padri. Kinachombwa na CDM sasa ni hao wapelele waje wachunguze vyombo vyetu vya usalama kwa sababu ndivyo vinavyoshutumiwa. Can't do that.nikukumbushe tu,Zanzibar tu hapo alivyouawa PADRI waliwahi kuja.na ubalozi wa marekani ulivyolipuliwa waliwahi kuja hii unaizungumziaje?na vyombo vyetu ulivyovitaja vilikuwepo.
Vyombo vya usalama vitamkamata nani ikiwa mashahidi wa muhimu wote wapo Nairobi?
Mkuu unafahamu kitu chochote kuhusu National Security? Na je, Unafahamu maana ya Nchi kuwa huru? Tuna vyombo vya usalama vilivyo huru na kamwe kuachia wazungu kuja kuchunguza nchi ni kuuza uhuru na pia kuuza nchi yenyewe.
Acheni kuwa mnarahisisha mambo. Kibiti mbona kina Mbowe na timu yake hawakuomba uchunguzi huru? Wanataka kuficha madhambi yao eeh!?
Mkuu hivi USA wana haja gani na kuichunguza Tz wakati details nyingi za Tz wanazo? teknolojia zote za vyombo vya ulinzi na usalama vya Tz zinatoka nje na zote kwa USA ni vitu vinavyjulikana kinagaubaga maana wao walishapitia hivyo makumi ya miaka iliyopita hivyo hatuna cha msingi saaaaaaaana cha kuwaficha.Nakubaliana na hoja za Nyani Ngabu.
Pia hebu fikirieni:
Vyombo vya kijasusi vya Marekani na/au Uingereza vije Tanzania kuchunguza kama vyombo vya dola vya TZ (polisi, usalama wa taifa, n.k.) walihusika na shambulizi la Lissu? Are you guys nuts?
Ni nchi gani duniani itaruhusu vyombo vya kijasusi vya taifa jingine waje wapeleleze mfumo wao wa ulinzi na usalama?
Halafu unawasikia viongozi wa juu kabisa wa CDM, ambao wanawania kuja kuiongoza TZ siku moja, wanaishauri serikali iruhusu huu ujinga.
CDM, you guys are not ready for prime time. Subirini miaka kadhaa ili mkomae kisiasa. Pathetic!