Nakubaliana na hoja za
Nyani Ngabu.
Pia hebu fikirieni:
Vyombo vya kijasusi vya Marekani na/au Uingereza vije Tanzania kuchunguza kama vyombo vya dola vya TZ (polisi, usalama wa taifa, n.k.) walihusika na shambulizi la Lissu? Are you guys nuts?
Ni nchi gani duniani itaruhusu vyombo vya kijasusi vya taifa jingine waje wapeleleze mfumo wao wa ulinzi na usalama?
Halafu unawasikia viongozi wa juu kabisa wa CDM, ambao wanawania kuja kuiongoza TZ siku moja, wanaishauri serikali iruhusu huu ujinga.
CDM, you guys are not ready for prime time. Subirini miaka kadhaa ili mkomae kisiasa. Pathetic!