Uhuru wa habari: Hivi Azam ni TV ya chama?

Leta documents zinazoonyesha kuwa media halali za chama/vyama.

Tatizo unataka kulazimisha media kubwa nchini Kama hizo ziwe zinarusha maneno machafu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa vyama ambayo yanaweza sababisha Hofu, Uchochezi, mpasuko, na mkanganyiko katika jamii/Taifa.

Hivyo Basi chama kinachoendesha shughuli zake kwa hekima na busara hasa katika maneno kwenye mikutano na matendo yanayofanyika kwenye mikutano hiyo, ndicho kitapewa kipa umbele katika habari maana kitakuwa kimekidhi maadili ya habari.

Note; Naunga mkono hoja kwa vyombo vya habari kupuuza habari zote za wanasiasa nchini zisizo na hekima, busara Wala sitaha ya maneno ndani yake.
 
Aliyekuwa na ubavu wa kubalansi Mambo ya siasa ni yule mwandishi wa I WILL I CAN ... lakini naye walivyokaribia mwaka wa uchaguzi, aliresitishwa ini pisi.
 
AZAM TV inapatikana kwenye chaneli namba ngapi na king'amuzi gani? King'amuzi changu cha AZAM ninapata TBC, Channel Ten, Clouds, Star TV, ITV, EATV na UTV ndizo zinazokuwa na taarifa ya habari, chaneli za AZAM zinaonesha burudani na sijui kama AZAM inawaandishi wa habari kama ilivyo Star TV.
 
Leta documents zinazoonyesha kuwa media halali za chama/vyama.

Tatizo unataka kulazimisha media kubwa nchini Kama hizo ziwe zinarusha maneno machafu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa vyama ambayo yanaweza sababisha Hofu, Uchochezi, mpasuko, na mkanganyiko katika jamii/Taifa.

Hivyo Basi chama kinachoendesha shughuli zake kwa hekima na busara hasa katika maneno kwenye mikutano na matendo yanayofanyika kwenye mikutano hiyo, ndicho kitapewa kipa umbele katika habari maana kitakuwa kimekidhi maadili ya habari.

Note; Naunga mkono hoja kwa vyombo vya habari kupuuza habari zote za wanasiasa nchini zisizo na hekima, busara Wala sitaha ya maneno ndani yake.
tatizo hamtaki kuambiwa ukweli halafu mnajitapa majukwaani "msemakweli ni mpenzi wa mungu!"
Mungu yupi huyo mnayemaanisha?!

yaani mnataka wtz woote nchi nzima tupongeze tuu...hii "akili" mmeitoa wapi?!.
 
Achana na hayo ma TV kwanza coverage ni ndogo haifikii wananchi wengi maana wananchi wengi siku hizi hawana ving'amuzi kwa kuwa uchumi umekaza.

Lskini na wale wachache wenye navyo wrngi ni middle class, wana elimu angalau ya kidato cha nne kwa hiyo hawadanganywi kwa propaganda za CCM
 
tatizo hamtaki kuambiwa ukweli halafu mnajitapa majukwaani "msemakweli ni mpenzi wa mungu!"
Mungu yupi huyo mnayemaanisha?!

yaani mnataka wtz woote nchi nzima tupongeze tuu...hii "akili" mmeitoa wapi?!.
Wewe ingelikuwa media yàko ungekubali kurusha habari au kuwa live na habari ambayo maudhui yake yanaligawa Taifa au yanalenga kumushambulia mtu kwa vijembe na matusi?.
 
Back
Top Bottom