Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

Uhuru siyo kama marais wengine Afrika Mashariki, oneni

Kuna jamaaa kasema ngoja watakuja lumumba wanaotumia matope kufikiri kwao kila kitu ni chadema tu sjui mna laana gani nyie vikalagosi????
jibu hoja mla viroba wewe, vipi leo mhasi wa upadre ushambrashia viatu?
 
Imekuwa ni tabia ya Uhuru Kenyatta rais wa Kenya kuishi maisha ambayo sio yaliozoeleka kwa viongozi wengine wa Africa..kwa sasa ni rais anaetembea na msafara mdogo sana kuliko wote E Africa pmoja na tishio la ugaidi kenya. Na wiki mbili zilizopita amekutwa akiwa na gari Moja na security details wanne akielekea hotelini kwenye kikao cha kifamilia, na alipo kuwa kwene trafic lights alimsalimia police, na watu wengine.

KIBOKO ni hii.
Jana amekuja tanzania kupitia Boda ya Namanga arusha na magari yasiyozidi nane, na amesema baada ya kufungua bunge la Africa mashariki atarudi kenya kupitia boda ya Taveta ipo kilimanjaro rombo.

Ikumbukwe majuzi juzi rais huyu amejiondolea mshahara wake zaidi ya 20% na amewataka viongozi wa nyadhifa serikalini wapunguziwe 20%.

Ikumbukwe huyu rais hapendi kuzurura nchi za watu anaamini uchumi wa kenya sio yeye peke yake anaweza kuuinua ndio maana kadeligate power kwa waziri wa mashauriano ya kigeni..ana nguvu sana.

Lipo la kujifunza. Kenyatta sio limbukeni pengine ni kwa sababu ni mtoto wa aliekuwa rais wa kenya. Sijui but the guy ni gentleman hata uwezo wa kumanage diplomasia za nchi hizi masikini Tanzania, uganda, rwanda,burundi na kongo anaweza. Hana adui wa kudumu, hana rafiki wa kudumu. Ana maslahi ya kudumu.

Usichofahamu ni kwamba Kenya ilishajitangaza nje kwa sababu hiyo nchi ni jimbo (state) tu la Uingereza na Marekani. Na hata Tanzania ilipoweka vikwazo kwa South Afrika wakati Makaburu wanatawala huku, wakiendesha ubaguzi wa rangi kwa ndugu zetu, KENYA ilikuwa inaendelea kama kazi kufanya biashara na kufyata mkia mbele ya Makaburu. Hata walipoingia Somali walitumwa na Baba zao hao. Samahani kwa neno hili lakini ni nukuu toka kwa Idd Amin Dada "Mabwana wa KENYA ni Amerika na Uingereza, kila wanachoambiwa na hao hufanya"

Matunda ya Tanzania kujitangaza Duniani yamezaa matunda, mwaka jana 2013 kwa mara ya kwanza tuliongoza kwa kutembelewa na watalii wengi kuliko nchi yeyote ya Afrika mashariki. Huko nyuma Kenya ilikuwa ni kinara kwa kila mwaka. Hongera uongezi wa Rais Kikwete. Sijachimba ya uhuru wa habari! We acha tu. Itapofika wakati nitatoa mada maalim kuhusu mafanikio ya mbinu za serikali ya JK.

kIJANA FUATILIA HISTORIA UTAELEWA, KWANINI TANZANIA HAIKUFAHAMIKA NJE YA NCHI KAMA KENYA. HATUNA CHA KUNGOJA WAKATI NI HUU TUTATUMIA MBINU ZOTE KUHAKIKISHA KUWA TANZANIA INAKUWA NAMBARI ONE KATIIKA AFRIIKA MASHARIKI. BIG RESULT NOW! Mkereketwa.
 
subiri uone msafara wa mkwer.e akienda bagamoyo lazima uchoke...afu hamalizi hata wiki lazima aende kwao sijui kuna nn...!!
 
Uhuru-car.jpg
 
hebu tusubiri hawa mababu wanaotajwa kuwa marais wetu 2015. labda wataiga mfano wa uyu kijana..
 
Usichofahamu ni kwamba Kenya ilishajitangaza nje kwa sababu hiyo nchi ni jimbo (state) tu la Uingereza na Marekani. Na hata Tanzania ilipoweka vikwazo kwa South Afrika wakati Makaburu wanatawala huku, wakiendesha ubaguzi wa rangi kwa ndugu zetu, KENYA ilikuwa inaendelea kama kazi kufanya biashara na kufyata mkia mbele ya Makaburu. Hata walipoingia Somali walitumwa na Baba zao hao. Samahani kwa neno hili lakini ni nukuu toka kwa Idd Amin Dada "Mabwana wa KENYA ni Amerika na Uingereza, kila wanachoambiwa na hao hufanya"

Matunda ya Tanzania kujitangaza Duniani yamezaa matunda, mwaka jana 2013 kwa mara ya kwanza tuliongoza kwa kutembelewa na watalii wengi kuliko nchi yeyote ya Afrika mashariki. Huko nyuma Kenya ilikuwa ni kinara kwa kila mwaka. Hongera uongezi wa Rais Kikwete. Sijachimba ya uhuru wa habari! We acha tu. Itapofika wakati nitatoa mada maalim kuhusu mafanikio ya mbinu za serikali ya JK.

kIJANA FUATILIA HISTORIA UTAELEWA, KWANINI TANZANIA HAIKUFAHAMIKA NJE YA NCHI KAMA KENYA. HATUNA CHA KUNGOJA WAKATI NI HUU TUTATUMIA MBINU ZOTE KUHAKIKISHA KUWA TANZANIA INAKUWA NAMBARI ONE KATIIKA AFRIIKA MASHARIKI. BIG RESULT NOW! Mkereketwa.
mkuu usisahau haya siku hiyo.
East Africa ports competition Sees Heightened Propaganda
Attempts by states to achieve and retain a position of dominance over others are a recurrent feature in international relations. This is now seen in East Africa as Kenya fights hard to retain its dominance as a largest economy in East Africa. This development is largely the result of the conflicting national ambitions of Tanzania and Kenya; each of which wishes to exercise paramount influence in the East Africa region. This competition, although hidden, has deep roots and is likely to intensify.
The nascent closer relation among Kenya, Uganda and Rwanda has to be understood outside the framework of the East Africa Community. The emerging ties among the three states underscore Kenya's broad strategic interests in undermining the growing position of Tanzania as a rising economic giant in the region. In light of that, Kenya has taken advantage of Tanzania's reluctance into full integration of the East African Community as an important propaganda weapon to protect its economic dominance. This is likely to become more important.
Ports politics
Let's start with port politics; the current Nairobi policy towards Uganda and Rwanda, in general, is largely motivated by Kenya's competition with Tanzania as the gateway to landlocked countries of Uganda, Rwanda, Burundi and DRC. This is the open secret, which the media analysing the trends in East Africa Community dynamics, have chosen to ignore. However, Manoah Esipisu the Kenyan Secretary of Communication was open enough to admit the trilateral meeting had nothing to do with the East Africa Community but, arguably, trade. He said, "Tanzania, they were not invited because at the moment we are dealing with the Northern Corridor. This was about the Port of Mombasa and the infrastructure that feeds the Northern Corridor."

Mombasa port
Why protect Mombasa now?
Kenya's status as the region's logistics hub is under threat after Tanzania signed a deal with China to set up the region's largest port. The $11 billion Bagomoyo port will be bigger than the Dar es Salaam and Mombasa ports, pushing the scales of regional trade in favour of Tanzania.
Bagamoyo port will have the capacity to handle 20 million containers a year, compared with Mombasa's installed capacity of 600,000 and Dar es Salaam's 500,000. This capacity makes it very unattractive for anyone to invest substantial investments in Mombasa once the Bagamoyo port is operational. It is expected that Bagamoyo port will be the cheapest destination to ship in East Africa and it is therefore Kenya's strategic interest to form the so called "the coalition of willing" under East Africa Community banner to ensure that they at least minimize market share risk which will be caused by the materialisation of Bagamoyo port project.
Tanzania Gas economy
Kenya has a second reason to be worried about its dominance, as currently Tanzania has a GDP (purchasing power parity) of $75.07 billion compared to that of Kenya which is $77.14 billion. Moreover, Tanzania is sitting on a verified mountain of natural gas resources, enough to make it the largest economy in East Africa and beyond. The current confirmed gas reserve stand at 43 Trillion Cubic feet (TCF), which is valued around $430 billion and it is expected that Tanzania's natural gas resources will rise to 200 trillion cubic feet after the next two years which will be valued at $2.1 trillion.
What this mean to Kenya vs Tanzania Competition?
Putting aside the $10 billion LNG export plant that Statoil and BG are considering building in Tanzania, the country has also embarked on a quick implementation of its energy master plan, which is a deciding factor for business environment in East Africa.
To start with, Tanzania has invested heavily in domestic gas production project that will transform the country's economy and make its manufacturing industry very competitive with a pipeline funded by a $1.2 billion Chinese loan. This is expected to be completed by December 2014. It will enable Tanzania to double its power generation capacity to 3,000 MW.

That alone will automatically make Kenya lose its edge as an East Africa favourable place to manufacture goods. A good example for this is illustrated in the deals which both Kenya and Tanzania secured when Japan's Economy, Trade and Industry Minister Toshimitsu Motegi visited them in Agust 2013. The minister chose Tanzania as a destination where Japan manufacturers will set up more production facilities with the aim to make Tanzania a Japan's manufacturing hub in Africa.
These dynamics of growth of Tanzania manufacturing industry doesn't end here. Currently Tanzania Investment Centre has recorded more than 50 manufacturing projects in Mtwara only. That excludes the Dangote's $500m Mtwara cement factory, which is described as the largest in Sub Saharan Africa and will have the capacity to produce about three million metric tonnes of cement annually.
Tourism competition
For Tanzania, Travel and tourism industry is one of the biggest and fastest growing industries with more than 1 million tourists visiting annually and spending more per visit compared to Kenya. As a result, Tanzania is improving and increasing the number of accommodation facilities and its infrastructure. This is giving Kenya a headache as it is forced to see the reality of decreasing market share. That explains the proposal of the so called "the coalition of willing" to introduce the East Africa tourist visa, which is not beneficial for Tanzania.
Why East Africa tourist Visa is not good for Tanzania?
For many years Kenya has used Tanzania tourist destinations to make its tourism package more marketable. However, since early 2000 Tanzania has invested heavily to try to differentiate its tourism destination from that of Kenya, which has proven a success and contributed to the 1 million tourists mark. Looking ahead Tanzania tourism market differentiation is more important than anything because it is what informs choices of its tourist who come to Tanzania. Thus the joint tourist visa will work against differentiation strategy.
Therefore all of the initiatives Kenya is coming up with under the so called "the coalition of willing" is more about protecting its economic interests and can easily be achieved under a coalition with Uganda and Rwanda because they are not Kenya competitors in ports or in tourism.
The future of the East African Community
Tanzania is a very mature country in geopolitics, and it has a wealth of experience in regional politics. It also has a sufficient environment necessary to take over Kenya as the largest economy in East Africa. That is why, It remains confident that once Kenya properly secures all the two main deals mentioned in this article (port and tourist visa), it will feel relieved and it will insert its diplomatic sense and East African community business will go back to normalcy.
As for Tanzania and Rwanda tense relations this has very little capacity to shift the East African Community dynamics because the competition between Tanzania and Kenya will improve services and give Rwanda a choice to pick who will deliver cheaper to her market and as for now Mombasa can seem a winner but come to 2017 when Bagamoyo port finishes the market will decide.
 
Nchi zilizoendelea waziri wa mambo ya nje anaheshimika na anapewa hadhi.
Habari ndiyo hiyo . Huku kwetu mgawanyo wa majukumu ni ndoto. Wa kwetu yeye anakaa ofisini kwa mkuu wake kachukua wajibu wa Waziri wa Mambo ya nje. Iko siku alihudhuria kikao cha mawaziri waandaji wakasema na huyo ni waziri wa nchi gani? ikabidi ajitegemee kwa kuwa hakutakiwa katika kikao hicho.
 
na wewe umefumbwa macho na huyo fisadi kushusha 20% ya mshahara wake ili msioji ardhi aliyopora, na unajua kwa siku hiyo ardhi ambayo ndo uchumi wenyewe inamuingizia mshahara wake mara ngapi? jifunze kupembua pumba na mchele usiishi kwa kulishwa mamneno tumia mda wako vizuri kujifunza kijana usibweteke.

angalau yeye fisadi kapunguza mshahara. Mafisadi wa hapa wamepunguza asilimia ngapi?
 
Kutokana na kesi alonayo atatumia kila mbinu kuonekana yu tofauti...hakuna sababu ya kumlinganisha na wengine...mwache ajifanyie marketing.


Kama vipi weka jedwali uanze kuwalinganisha kwa yote...si kama hivi vipande vipande; Kwa EA bado najivunia JK
 
View attachment 146999
Hapo vipi? Toa maoni yako!


Sent from my iPad using JamiiForums

Hahahahahahahaahah kumbe! Kumbe! na huyo ni mwekezaji muhimu kwenye uchumi wa Tanzania. Sijui atapewa eneo mto rufiji au atapewa migodi ya wachimbaji wadogo wadogo wa sehemu gani. Angekuwa Waziri wa mambo ya nje bosi wake angemuuliza tunanufaikaje na ziara hiyo. Sasa nani anamuuliza bosi tunanufaikaje na huyo uliyekutana naye? Kwa mtindo huo lazima utasema tukiwa na serikali tatu ya Muungano haitakuwa na mapato ya kutosha kufanya issue kama hizo.
 
Ndio shida ya kuwapa watu masikini taasisi ya URAISI. Atataka alipize kwanza shida alizopata kabla ya kuwa raisi kwa kuponda raha, kulimbikiza mali na kutembelea dunia nzima ili akistaafu apate cha kujisifia!!! ila kwa Kenyata mambo haya alishayazoea tangu Enzi na Enzi na hata time nayp tena!!!!!!
 
Habari ndiyo hiyo . Huku kwetu mgawanyo wa majukumu ni ndoto. Wa kwetu yeye anakaa ofisini kwa mkuu wake kachukua wajibu wa Waziri wa Mambo ya nje. Iko siku alihudhuria kikao cha mawaziri waandaji wakasema na huyo ni waziri wa nchi gani? ikabidi ajitegemee kwa kuwa hakutakiwa katika kikao hicho.

Nadhani ulimaanisha kikao hiki. Ilikuwa shughuli pevu kupata pa kukaa ikabidi ajichanganye tuu sasa afanyeje? He he he
ImageUploadedByJamiiForums1395736945.361549.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums
 
A plane was about to crash and
there were only four parachutes on
the plane. Meanwhile there were
five people on it. The first person,
Lionel Messi, said, "I'm the world's
best footballer right now, I cant die
now!"
So he took one of the parachutes
and left. The second person, Bill
Gates, said, "I'm the richest man on
Earth, I can't die now, I'm needed in
the world!"
So he took the second parachute
and left. The third was the
Tanzanian President and he said,
"I'm the smartest President in the
world, so I cant die now, my people
still need me!"
So he took one and left.
Then it was left with the Pope and a
little school girl. The Pope said to
the little girl, "Take the last one, I'll
sacrifice my life for you."
The little girl replied, "No need for
that, There are two parachutes left."
The pope asked her, "How come?"
The little girl replied, "The
Tanzanian President took my school
bag." Ndio Huyu wa kwetu???

Nimecheka sanaa duh ....has taken a school bag....hahahahah...what next after that
 
Imekuwa ni tabia ya Uhuru Kenyatta rais wa Kenya kuishi maisha ambayo sio yaliozoeleka kwa viongozi wengine wa Africa..kwa sasa ni rais anaetembea na msafara mdogo sana kuliko wote E Africa pmoja na tishio la ugaidi kenya. Na wiki mbili zilizopita amekutwa akiwa na gari Moja na security details wanne akielekea hotelini kwenye kikao cha kifamilia, na alipo kuwa kwene trafic lights alimsalimia police, na watu wengine.

KIBOKO ni hii.
Jana amekuja tanzania kupitia Boda ya Namanga arusha na magari yasiyozidi nane (mengine ni ya serikali ya tanzania yaliyoenda kumpokea) na amesema baada ya kufungua bunge la Africa mashariki atarudi kenya kupitia boda ya Taveta ipo kilimanjaro rombo.

Ikumbukwe majuzi juzi rais huyu amejiondolea mshahara wake zaidi ya 20% na amewataka viongozi wa nyadhifa serikalini wapunguziwe 20%.

Ikumbukwe huyu rais hapendi kuzurura nchi za watu anaamini uchumi wa kenya sio yeye peke yake anaweza kuuinua ndio maana kadeligate power kwa waziri wa mashauriano ya kigeni..ana nguvu sana.

Lipo la kujifunza. Kenyatta sio limbukeni pengine ni kwa sababu ni mtoto wa aliekuwa rais wa kenya. Sijui but the guy ni gentleman hata uwezo wa kumanage diplomasia za nchi hizi masikini Tanzania, uganda, rwanda,burundi na kongo anaweza. Hana adui wa kudumu, hana rafiki wa kudumu. Ana maslahi ya kudumu.

Kumbuka Pia

Toka Amezaliwa Alikuwa na Misafara ya Magari kibao Kumpeleka Kucheza; Shule; Kwa GilrFriends; Partying etc...
Hata mimi na wewe tungeyachoka hayo Magari ya Misafara

Mshahara wake; Oh... HIYO ARDHI kibao aliyowaibia wakenya ni more than $1 BILLION acha biashara zao za nguvu

*** Mwambie basi atimeze ile ahadi aliyoisema wakati wa UCHAGUZI kuwa atarudisha baadhi ya ARDHI zake kwa Wananchi Masikini???



c.c Tyta, omujubi, The bold
 
Anachofanya ni sawa lakini angekuwa hana kesi kule Hegue angefanya hivyo?
 
A plane was about to crash and
there were only four parachutes on
the plane. Meanwhile there were
five people on it. The first person,
Lionel Messi, said, "I'm the world's
best footballer right now, I cant die
now!"
So he took one of the parachutes
and left. The second person, Bill
Gates, said, "I'm the richest man on
Earth, I can't die now, I'm needed in
the world!"
So he took the second parachute
and left. The third was the
Tanzanian President and he said,
"I'm the smartest President in the
world, so I cant die now, my people
still need me!"
So he took one and left.
Then it was left with the Pope and a
little school girl. The Pope said to
the little girl, "Take the last one, I'll
sacrifice my life for you."
The little girl replied, "No need for
that, There are two parachutes left."
The pope asked her, "How come?"
The little girl replied, "The
Tanzanian President took my school
bag."
Ndio Huyu wa kwetu???

Sinaka mbafu sangu jamani , Heri Pope amekuwa na hekima , harikuwa na ubinafsi
 
Back
Top Bottom