Uhuru katika Mahusiano?

Naomba kukuuliza mtu ukiwa single kwa muda mrefu how can you live without doing sex..? Cz binadamu aliyeumbwa akakamilika sex ni kama sehemu ya basic needs.

Au njia gani unaweza kutumia kutofanya hivyo muda wote hisia zikikujia.
Mkuu unafahamu maana ya neno ASEXUAL? Hebu tuanzie hapo kwanza?
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kwamba watu kama hao hawapo duniani au
Hongera sana mama, nina maswali mengi ila ngoja ni-reserve kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera sana mama, nina maswali mengi ila ngoja ni-reserve kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwee kwani si unajua pa kuyauliza jamani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwee kwani si unajua pa kuyauliza jamani
Nitafanya hivyo, ngoja nikiwa na utulivu kwanza.
 
Mpaka hapa nimegundua hupendwi ila umependa ........tafuta
anae kupenda utajikuta hutumii nguvu kuendesha mapenzi
 
Teh, huyo atakuwa anakutafuta tu akihitaji papuchi
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Innocent
Ndio kipenzi changu, nikisoma comments zako huwa kuna ubaridi unanipiga mwili mzima nasisimka, inakuwa kama nimepita pembeni ya makaburi ya watakatifu.

Upepo wa utakatifu eneo hilo ukavuma ukanipuliza na mimi nikapata msisimko wa ajabu.......

Mtoto so innocent wewe, MUNGU anijalie nipate nafasi japo hata ya kukukumbatia nikutazame usoni kwenye macho yako hayo makubwa kama mwanasesere wa Barbie.......

Dah unanimaliza sana ewe kimwana Karma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…