Mkuu unafahamu maana ya neno ASEXUAL? Hebu tuanzie hapo kwanza?Naomba kukuuliza mtu ukiwa single kwa muda mrefu how can you live without doing sex..? Cz binadamu aliyeumbwa akakamilika sex ni kama sehemu ya basic needs.
Au njia gani unaweza kutumia kutofanya hivyo muda wote hisia zikikujia.
Hivi unawezaje? It's really hard, single kama single au single bila commitment?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu unafahamu maana ya neno ASEXUAL? Hebu tuanzie hapo kwanza?
Asexual? We Karma wewe!!!! I know you're kidding!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Single kabisa yani
[emoji3][emoji3][emoji3]^husipo^ --- usipo
^husipo jua^ --- usipojua
^afu^ --- halafu
^kwann^ --- kwa nini
^usicho kitaka^ --- usichokitaka
^King Sae^ --- King Saeta
Haha [emoji38] umetisha[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ni Makii Hasan eeh?
Mkuu acha kuharibu jina la mfalme...^King Sae^ --- King Saeta
Una hasira sana wewe unaonekana ukimaliza chuo tu unaomba ajira 1 kwa 1Mkuu acha kuharibu jina la mfalme...
Ila vizuri sana inaonekana kiswahili upo vzuri,Ila ajira ni chache...nitakuombea dua mkuu akuajiri jf
Niko byeeeee my kaka. Heri ya mwaka mpyaHahaaa kwa kweli lipo wazi sijui kwanini halioni. Ila mwache asukume sukume siku ziende.
Upo poa lakin my dada
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Asexual? We Karma wewe!!!! I know you're kidding!!
Hongera sana mama, nina maswali mengi ila ngoja ni-reserve kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kwamba watu kama hao hawapo duniani au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera sana mama, nina maswali mengi ila ngoja ni-reserve kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafanya hivyo, ngoja nikiwa na utulivu kwanza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwee kwani si unajua pa kuyauliza jamani
Nimeshamaliza chuo mara tatu...au unamaanisha mara ya ngapi mkuuUna hasira sana wewe unaonekana ukimaliza chuo tu unaomba ajira 1 kwa 1
anae kupenda utajikuta hutumii nguvu kuendesha mapenziLabda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Sasa mnaongea nini mkuu au salamu tu!! umeamkaje, umeshindaje, na usiku mwema
Teh, huyo atakuwa anakutafuta tu akihitaji papuchi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].. You never know. It might be true
So Mimi nimeamua kumuangalia tu....Kama aanataka kuwa katika Mahusiano atashow effort na Nia..Kama hataki Siwezi mlazimisha Wala kumforce.
So nimeamua kumuachia hayo maamuzi yeye... Huku Mimi nikiangalia action zake.
Kama ikifika mahala nikaona zero effort... Ntaendelea tu na maisha yangu...bila hata kumbugudhi.
Siwezi weka effort na kupush kutaka matokeo nayoyataka kwa lazima...Lazima itoke kwake...I need him....but he is the one who should need me more.
So Kama he needs me in his life...he will do the right thing....Kama hataki...Mimi ntaendelea na maisha yangu.
And who told you ladies love minimal attention?... You should say "you like it"
Tunamshukuru Mungu tumeuona dadaNiko byeeeee my kaka. Heri ya mwaka mpya
Tunamshukuru Mungu tumeuona dada
Ila tumepoteana sana bana, duuh!
Oohh sawaNitafanya hivyo, ngoja nikiwa na utulivu kwanza.
Ndio kipenzi changu, nikisoma comments zako huwa kuna ubaridi unanipiga mwili mzima nasisimka, inakuwa kama nimepita pembeni ya makaburi ya watakatifu.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Innocent