Hiyo haiapply kwa kila mtu mkuu! Kwangu mimi being single and enjoying my own company is all i need!Haingaiko la kumpata anayekufaa < Haingaiko la kutokuwa naye
One day yes. Siku ukipata sehem umependa kwa dhati you will not question your self about freedom.Hiyo haiapply kwa kila mtu mkuu! Kwangu mimi being single and enjoying my own company is all i need!
By the way after God the next thing i worship is My FREEDOM! I just can't compromise on it for ANYTHING!
Kama mahusiano ndiyo yanataka hivyo anavyosema mtoa mada basi nitashindwa! Na ndiyo maana naona bora niwe single!
Mapenzi yafanye kama starehe tu utaenjoy lakin ukiyafanya kama ndo maisha yako apo lazima yakupasue kichwaMtu akishajua unampenda umekwisha wallahi yaani atakupasua hilo bichwa
Kisha atakuzungusha kama mpiga picha na hakuna kitu utamfanya zaidi sana utajichatisha
Hahaha halafu sijui kwanini watu wengi huwa wanasema ngoja siku ukipenda kwa dhati! Mimi tayari nishapenda kwa dhati boss!One day yes. Siku ukipata sehem umependa kwa dhati you will not question your self about freedom.
Hujambo. Appy new year
Pole ! Naona yamekukuta .Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi
Sijambo happy new year to you too! Sister wangu mzima?One day yes. Siku ukipata sehem umependa kwa dhati you will not question your self about freedom.
Hujambo. Appy new year
Your conclusion said it allLabda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Ni kwambie kitu...Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Hahaha watu wanakuambia mapenzi ndiyo maisha halafu wewe unawaambia wayafanye kama starehe tu? Hawatakuelewa mkuu!Mapenzi yafanye kama starehe tu utaenjoy lakin ukiyafanya kama ndo maisha yako apo lazima yakupasue kichwa
Give yourself a breakNamini Nashangaaa...Uhuru upi yaani anautaka..wakufanya Nini..mpaka Mimi Simu zangu zimpunguzie huo Uhuru...
Huyu mwanaume Ni Mgumu Sana...yaani anamisimamo ya Ajabu Sana...hata ukisema nampeleka ndugu yangu hospital..anajibu HAYA....like hata kuuliza anaumwa Nini nalo hawezi...eti kwani Huyu ndungu yako Ni Wewe?
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Mzima saanaa. Salam zimefikaSijambo happy new year to you too! Sister wangu mzima?
That is goood.Hahaha halafu sijui kwanini watu wengi huwa wanasema ngoja siku ukipenda kwa dhati! Mimi tayari nishapenda kwa dhati boss!
Muambie arudi aisee! Tumemmiss!Mzima saanaa. Salam zimefika
Hahaaa pole banaNAJUTA kuweka bandiko humu...Amani yangu Kama inataka kutoweka hivi
Kwahiyo bibie uko single kabisa ? Yaani single ile ile single kabisa ?Hapo kwenye kuchoose wisely sasa ndipo mtihani ulipo! Mie ndiyo maana nimeona bora nihangaike na maisha yangu tu sitaki kuhangaishana na mtoto wa mtu aise!
Ndiyo yaani niko single kabisa! Kila kitu ukiamua unaweza ni wewe tu!Kwahiyo bibie uko single kabisa ? Yaani single ile ile single kabisa ?
Aisee kuna vitu ni vigumu sana usingle siuwezi kabisa, sijui unaishije yaani unawezaje kuwa single ?
Kwahiyo bibie uko single kabisa ? Yaani single ile ile single kabisa ?
Aisee kuna vitu ni vigumu sana usingle siuwezi kabisa, sijui unaishije yaani unawezaje kuwa single ?
Naomba kukuuliza mtu ukiwa single kwa muda mrefu how can you live without doing sex..? Cz binadamu aliyeumbwa akakamilika sex ni kama sehemu ya basic needs.Ndiyo yaani niko single kabisa! Kila kitu ukiamua unaweza ni wewe tu!
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi
[/QUOTEHupendw ww,hakuna ubussy kweny mapenz,kuna ng'ombe moja iliniletea haya nkaamua kupga chin,cwez ku sucrifce kwa mtu wkt yy hayuko tayariMtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi