Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Amesema hana wasiwasi wowote wa kurudia uchaguzi na kuwaita wale majaji ni majambazi. Aliyasema hayo wakati akilihutubia bunge ktk ufunguzi wake. Jaji Mkuu wa Kenya hakuhudhuria sherehe hizo kwa madai kwamba wao kama majaji hawajaalikwa. Source BBC Dira ya Dunia!