uhuru au kharaha!!!!

Toboamambo

Member
Sep 16, 2007
26
5
ama kweli tz hatuko huru,na uhuru wenyewe ni kharaha kabisa..katika zurula yangu sehemu mbalimbali nimefanikiwa kupita Mkoa wa Kagera baadhi ya sehemu.
jamani!!!!!!kuna belia(vuzuizi barabarani) nyingi hadi ni kero!KERO!!KERO!!!!!
kutoka sehemu iitwayo Nyakahanga katika wilaya ya Karagwe hahi Bukoba,zipo belia zaidi ya nne(ambazo ni Nyakahanga Hospital,Kihanga,Kitengure,Mwisa,Kyaha na Rwamishenye).na kwa wastani utatumia dakika tano hadi kumi na tano(robo saa) kila belia moja...ati tuna uhuru??????

katika zote Mwisa ndiyo ovyo na mbaya kabisa hata uvundo upo.saa 12 huruhusiwi kupita na ni mchana kweupeeeeee peeeee.jamani???????????na utaambiwa ulale Kyaka au uludi Bukoba.pia ni chanzo cha RUSHWA!!!!!hivi ni uhuru au kharaha ndani ya nchi yetu wenyewe????
 
ama kweli tz hatuko huru,na uhuru wenyewe ni kharaha kabisa..katika zurula yangu sehemu mbalimbali nimefanikiwa kupita Mkoa wa Kagera baadhi ya sehemu.
jamani!!!!!!kuna belia(vuzuizi barabarani) nyingi hadi ni kero!KERO!!KERO!!!!!
kutoka sehemu iitwayo Nyakahanga katika wilaya ya Karagwe hahi Bukoba,zipo belia zaidi ya nne(ambazo ni Nyakahanga Hospital,Kihanga,Kitengure,Mwisa,Kyaha na Rwamishenye).na kwa wastani utatumia dakika tano hadi kumi na tano(robo saa) kila belia moja...ati tuna uhuru??????

katika zote Mwisa ndiyo ovyo na mbaya kabisa hata uvundo upo.saa 12 huruhusiwi kupita na ni mchana kweupeeeeee peeeee.jamani???????????na utaambiwa ulale Kyaka au uludi Bukoba.pia ni chanzo cha RUSHWA!!!!!hivi ni uhuru au kharaha ndani ya nchi yetu wenyewe????

Binafsi sijawahi kufika huko, ila inasemekana kuna matukio makubwa ya uhalifu hasa utekaji magari nyakati za usiku na sometimes mchana kweupe.
Ninafikiri, kuzuia kuendelea na safari saa kumi na mbili jioni ni kupunguza kama sio kuzuia kabisa huo utekaji wa magari. Na labda hawana Askari wa kutosha ama vyombo vya usafiri vya kutosha kuwezesha Askari kufanya doria barabarani ama kusindikiza magari usiku, wakaona bora kuzuia magari kusafiri usiku.
Kuhusu vizuizi kimoja baada ya kingine kila baada ya dakika 15, ama tuseme kila baada ya mwendo flani mfupi, nafikiri it's a good idea, kukiko kuwa na vizuizi mbali, you never know what will happen in between kama umbali utakuwa mrefu/mkubwa.
So far I can't see any karaha on this. Ni nchi yenyewe wahalifu ambao ni ndugu, jamaa, rafiki, jirani zetu wamezidi na hatutaki kuwaumbua.
Ni hayo tu.
 
kama nikuhimalisha usalama mbona matukio yanatokea cha ajabu hayapungui na belia zao kuwa nyingi kiasi hiki???
 
Back
Top Bottom