Inasikitisha kwakweliPole mkuu. Huo kweli uhuni. Wamegeuza mtaji miili ya watoto
Hapo ndio kwenye tatizo, wangeanza na vyeti.Kwani wenye vyeti feki jeshini waliguswa?
Ndio wawaunge ovyo watotoMadocta wanajeshi wanatibu kijeshi.
JiwePole sana mkuu.
Yani hii nchi hii. Wanageuza majaribio kwenye miili yetu na ya watoto wetu?
Kwa vile ni Jeshini nadhani hata Wizara haitafuatilia. Maana Jiwe alishawahi sema kuwa kile kivuko chake kibovu anakipeleka jeshini sasa ole wake atakayekiandika.



acha uchochezi hakuna daktari alie kwenye mgomo.Iliyo chini ya kapeti madaktari wapo kwenye mgomo lakini hawajatangaza rasmi, fuatilia utabaini ninachokuambia
No, kutokua competent sio uhuni..ila kujifanya ni competent wakati hauna vigezo vya kuwa competent ndio uhuni.Kutokua competent ni uhuni pia.
Huyo wa kwangu na wengine wawili niliyowaona wakiwa na Mama zao. May be kuna wengine. Ila kuna malalamiko mengi. Kama ni mfuatiliaji utayapata mengi. Binafsi nilipaamini Lugalo tangu nasoma chuo 2000s.Swali kwa mleta mada-Je hapo lugalo walitibiwa watoto watatu tu wenye tatizo la mifupa?