Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

Naona bado mnaendelea kufuga uhuni na wahuni Tanzania bado hamjajifunza ile tarehe 29. Njia pekee ya kuiponya nchi yetu ni kuwamaliza wahuni lakini bado mnaendelea kuwalea.watanzania tumeamka na mkiendelea kuwafumbia macho wahuni mambo zaidi ya tarehe 29 yatatokea.
Gentleman,
hakuna mamluki, mchochezi au gaidi wa kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma au binafsi ya wananchi atachekewa na vyombo imara sana vya ulinzi na usalama nchini hata kwa sekunde moja tu.

lazima kuwe na heshima kwa taifa :NoGodNo:
 
Naona bado mnaendelea kufuga uhuni na wahuni Tanzania bado hamjajifunza ile tarehe 29. Njia pekee ya kuiponya nchi yetu ni kuwamaliza wahuni lakini bado mnaendelea kuwalea.watanzania tumeamka na mkiendelea kuwafumbia macho wahuni mambo zaidi ya tarehe 29 yatatokea.
wewe uhamasishe kuchoma vitu vya watu ambao wanatafuta kwa shida alafu useme unaonenewa? kwa kifupi hakuna kucheka na mbuzi
 
Gentleman,
hakuna mamluki, mchochezi au gaidi wa kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma au binafsi ya wananchi atachekewa na vyombo imara sana vya ulinzi na usalama nchini hata kwa sekunde moja tu.

lazima kuwe na heshima kwa taifa :NoGodNo:
Kwanza sababu ya mambo yote yaliyotokea tarehe 29 ni uongozi mmbovu wa serikali chini ya Samia na wakaongea huo uovu kwa kuwaua watu zaidi ya elfu 10.uovu kama ufisadi,kuwakama wapinzani na kuwaua,huduma mbovu za kijamii.Lakini muda upo karibu ambayo wauaji wote ukiwepo Rais aliyetoa amri watu kuuawa na wenzake watawajibishwa na kumalizwa jiandae kwa kilio.kuhusu uharibifu wa mali watanzania walitaka kuonesha ujumbe wao kuwa wamechoka na uhuni wa CCM.hata hivyo hakuna sababu inayohalalisha kuua waandamanaji hata kama wamechoma mali.wote mlioshiriki kwenye ule unyama mtakufa na hiyo adhabu haiepukiki.
 
Kwanza sababu ya mambo yote yaliyotokea tarehe 29 ni uongozi mmbovu wa serikali chini ya Samia na wakaongea huo uovu kwa kuwaua watu zaidi ya elfu 10.uovu kama ufisadi,kuwakama wapinzani na kuwaua,huduma mbovu za kijamii.Lakini muda upo karibu ambayo wauaji wote ukiwepo Rais aliyetoa amri watu kuuawa na wenzake watawajibishwa na kumalizwa jiandae kwa kilio.kuhusu uharibifu wa mali watanzania walitaka kuonesha ujumbe wao kuwa wamechoka na uhuni wa CCM.hata hivyo hakuna sababu inayohalalisha kuua waandamanaji hata kama wamechoma mali.wote mlioshiriki kwenye ule unyama mtakufa na hiyo adhabu haiepukiki.
walitaka kuonyesha eti nn 🤣 🤣 kwa kuiba maduka ya watu na kuchoma mali za watu binafsi si ndio, 🤣🤣 basi mtachezea shaba za kutosha tu
 
wewe uhamasishe kuchoma vitu vya watu ambao wanatafuta kwa shida alafu useme unaonenewa? kwa kifupi hakuna kucheka na mbuzi
Hakuna aliyehamaishwa kuchoma vitu vya watu ukweli ni kwamba ile ni hasira zilizokusanywa mioyoni mwa watanzania kwa muda mwingi kwa sababu ya maovu ya serikali.sasa hivi hizo hasira zinaongezeka mara nyingi.hata hivyo huwezi kumuua mtu kisa kachoma kituo cha polisi.uhai unathamani kuliko mali.
 
Hakuna aliyehamaishwa kuchoma vitu vya watu ukweli ni kwamba ile ni hasira zilizokusanywa mioyoni mwa watanzania kwa muda mwingi kwa sababu ya maovu ya serikali.sasa hivi hizo hasira zinaongezeka mara nyingi.hata hivyo huwezi kumuua mtu kisa kachoma kituo cha polisi.uhai unathamani kuliko mali.
hasira za kuiba kwenye maduka ya watu? hasira za kuchoma huduma ambayo wewe mwenyewe unaitumia? huo ujinga lazima ufike mwisho na hakuna kucheka na mtu! umekopa pesa kujenga mwendo kasi wewe unachoma hio ndo unasema hasira?

2) ccm ina makosa gan? umekataa mwenyewe kwenda kwenye uchaguzi alafu utulaumu sisi, mzee risasi zitaendelea za kutosha
 
walitaka kuonyesha eti nn 🤣 🤣 kwa kuiba maduka ya watu na kuchoma mali za watu binafsi si ndio, 🤣🤣 basi mtachezea shaba za kutosha tu
walitaka kuonyesha eti nn 🤣 🤣 kwa kuiba maduka ya watu na kuchoma mali za watu binafsi si ndio, 🤣🤣 basi mtachezea shaba za kutosha tu
Ukiangalia mali nyingi ni za watu wanaohusiana na CCM au viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi.Safari nyingine mtachomwa mpaka nyie machawa.alafu kuraribiwa kwa mali haihalalishi kuua watu.
 
Kwanza sababu ya mambo yote yaliyotokea tarehe 29 ni uongozi mmbovu wa serikali chini ya Samia na wakaongea huo uovu kwa kuwaua watu zaidi ya elfu 10.uovu kama ufisadi,kuwakama wapinzani na kuwaua,huduma mbovu za kijamii.Lakini muda upo karibu ambayo wauaji wote ukiwepo Rais aliyetoa amri watu kuuawa na wenzake watawajibishwa na kumalizwa jiandae kwa kilio.kuhusu uharibifu wa mali watanzania walitaka kuonesha ujumbe wao kuwa wamechoka na uhuni wa CCM.hata hivyo hakuna sababu inayohalalisha kuua waandamanaji hata kama wamechoma mali.wote mlioshiriki kwenye ule unyama mtakufa na hiyo adhabu haiepukiki.
Gentleman,
as a nation,
there is zero tolerance to mercenaries or terrorists' actions within the beautifully land of Tanzania.

You can say whatever, but don't try that at all :pulpTRAVOLTA:
 
Ukiangalia mali nyingi ni za watu wanaohusiana na CCM au viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi.Safari nyingine mtachomwa mpaka nyie machawa.alafu kuraribiwa kwa mali haihalalishi kuua watu.
safi, sasa ndo mnajionyesha rangi zenu halisi! ina maana mm leo kupenda ccm ni death sentence? sina haki ya kua mwanachama wa ccm sio? 🤣 🤣 yaaani leo hii ccm waseme wewe kama mwanachadema hakuna kutumia huduma za serikali mtaishi? yaani huu ndo uhalisia wenu na mlipata mlichotakiwa kupata
 
hasira za kuiba kwenye maduka ya watu? hasira za kuchoma huduma ambayo wewe mwenyewe unaitumia? huo ujinga lazima ufike mwisho na hakuna kucheka na mtu! umekopa pesa kujenga mwendo kasi wewe unachoma hio ndo unasema hasira?

2) ccm ina makosa gan? umekataa mwenyewe kwenda kwenye uchaguzi alafu utulaumu sisi, mzee risasi zitaendelea za kutosha
this is the best comment of the day,

well done gentleman:KasugaYeah:
 
wewe uhamasishe kuchoma vitu vya watu ambao wanatafuta kwa shida alafu useme unaonenewa?
hasira za kuiba kwenye maduka ya watu? hasira za kuchoma huduma ambayo wewe mwenyewe unaitumia? huo ujinga lazima ufike mwisho na hakuna kucheka na mtu! umekopa pesa kujenga mwendo kasi wewe unachoma hio ndo unasema hasira?

2) ccm ina makosa gan? umekataa mwenyewe kwenda kwenye uchaguzi alafu utulaumu sisi, mzee risasi zitaendelea za kutosha
Ma
hasira za kuiba kwenye maduka ya watu? hasira za kuchoma huduma ambayo wewe mwenyewe unaitumia? huo ujinga lazima ufike mwisho na hakuna kucheka na mtu! umekopa pesa kujenga mwendo kasi wewe unachoma hio ndo unasema hasira?

2) ccm ina makosa gan? umekataa mwenyewe kwenda kwenye uchaguzi alafu utulaumu sisi, mzee risasi zitaendelea za kutosha
Makosa ya CCM ni kuhalalisha ufisadi,kuiba uchaguzi,kuua na kukamata wapinzani,uongozi mmbovu, nchi ni Tajiri lakini utajiri hauwanifaishi watanzania.tumeamka na lazima wahuni mpotee
 
safi, sasa ndo mnajionyesha rangi zenu halisi! ina maana mm leo kupenda ccm ni death sentence? sina haki ya kua mwanachama wa ccm sio? 🤣 🤣 yaaani leo hii ccm waseme wewe kama mwanachadema hakuna kutumia huduma za serikali mtaishi? yaani huu ndo uhalisia wenu na mlipata mlichotakiwa kupata
Wananchi wanaona hizo mali zinapatikana kwa sababu ya matumizi mabaya ya Kodi zao lazima wakasirike.watanzania tumeamka tunajitambua lazima wahuni mmalizwe.
 
Nonsense watanzania tumeamka na wahuni lazima mmalizwe.
sawa gentleman,
we lete kimbelembele cha eti kudai haki ya kuleta fujo, kupora mali za watu, kuchoma sheli, na kuharibu miundombinu ya umma na binafsi kama hujapeleka zawadi ya huzuni na majonzi kwa familia yako nyumbani :pulpTRAVOLTA:
 
sawa gentleman,
we lete kimbelembele cha eti kudai haki ya kuleta fujo, kupora mali za watu, kuchoma sheli, na kuharibu miundombinu ya umma na binafsi kama hujapeleka zawadi ya huzuni na majonzi kwa familia yako nyumbani :pulpTRAVOLTA:
Kama watu wataona hizo mali zimepatikana kwa njia hatamu kila kitu kinawezeka hata hivyo soon wahuni wataondolewa.Damu za watu zinamlilia Mungu na kutaka justice.
 
Wananchi wanaona hizo mali zinapatikana kwa sababu ya matumizi mabaya ya Kodi zao lazima wakasirike.watanzania tumeamka tunajitambua lazima wahuni mmalizwe.
una ushahidi wowote kuna mali imeibiwa? na je hata kama kuna kiongozi kwel kakutwa kaiba, ina uhusiano gan na yule anaeuza chakula pale kinondon?
 
Kama watu wataona hizo mali zimepatikana kwa njia hatamu kila kitu kinawezeka hata hivyo soon wahuni wataondolewa.Damu za watu zinamlilia Mungu na kutaka justice.
Heshimu mamlaka ilio juu yako . Yanasema maandiko
 
safi, sasa ndo mnajionyesha rangi zenu halisi! ina maana mm leo kupenda ccm ni death sentence? sina haki ya kua mwanachama wa ccm sio? 🤣 🤣 yaaani leo hii ccm waseme wewe kama mwanachadema hakuna kutumia huduma za serikali mtaishi? yaani huu ndo uhalisia wenu na mlipata mlichotakiwa kupata
Kuwa ccm sio kosa,kosa ni kuwa mpumbavu wa kushabikia ujinga,nyinyi ndio mnafanya watu wachukie chama kwa ushabiki wenu wa kipuuzi,kwenye uovu kemea sio kuweka ushabiki sio mpaka usubiri siku wakosee wampige risasi mama Yako ndio uumie,huo upumbavu wa fikra mbovu ni mzigo
 
una ushahidi wowote kuna mali imeibiwa? na je hata kama kuna kiongozi kwel kakutwa kaiba, ina uhusiano gan na yule anaeuza chakula pale kinondon?
Ushahidi ni Rais wako mwenyewe alisema kuwa anajua watu wanaiba ila wasiibe sana mpaka wavimbiwe.yaani Rais wako mwenyewe anajua kuna ufisadi na bado akaendelea kuubariki kwa maneno yake mwenyewe.Alafu kuna matumizi mabaya ya mali za uma kama kuwalipa wasanii huku mambo muhimu yakiachwa Nk.
 
Back
Top Bottom