Uhondo Uswahilini

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740

 
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!
 
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!

Hizi nyama ni maarufu sana huko 'uwanja wa fisi' Inasemekana ukienda na Sh. 1,000/= utakunywa, uwanunulie jamaa, utapata nyama choma na unaondoka na mwanamke!
 
teh teh teh,ebwana nilikuwa bongo mda kidogo lakini sijasikia hiyo nyamaa inayoitwa bigijii,duh,yawezekana ukila usipate haja kubwa,duh teh teh teh
 
Uwanjanwa fisi nyama za vibudu wale wa nyama wote wanaokufa wenyewe hawatupwi wanauzwa pale..kama ng'ombe kafa..mbuzi nk pale ndio wanauzwa
 
jamaa kauchap usingizi baada ya kutoka kubeba lumbesa..huyo pembeni anakunywa gahwa..kupoza njaa kaazi kweli kweli
 
watu kama hawa mara nyingu hawajui hata kama kuna mafisadi maana hawana muda hata wa kusoma magazti au kusikiliza radio ila wakija kuwajua ndio inakua kivumbi maana watawatupia hata mawe sio kuzomea tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…