Wakazi hawa wa Jijini la Dar, leo asubuhi walifumwa na kamera yetu katika vilabu vya pombe za kienyeji vya Kigogo Luhanga wakichangamkia nyama choma maarufu kwa jina la Mikwasukwasu, Ukitaka kujua bei zao kipande cha utumbo wa kuchoma ni shilingi 100/= ukitaka Bigijii 200/=, nyama hii ni mfano wa steki, huitwa Big G kwasababu unapoitafuna kipande chake unaweza kutumia hata zaidi ya saa tatu hujakimaliza!!
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!
Hizi nyama ni maarufu sana huko 'uwanja wa fisi' Inasemekana ukienda na Sh. 1,000/= utakunywa, uwanunulie jamaa, utapata nyama choma na unaondoka na mwanamke!
watu kama hawa mara nyingu hawajui hata kama kuna mafisadi maana hawana muda hata wa kusoma magazti au kusikiliza radio ila wakija kuwajua ndio inakua kivumbi maana watawatupia hata mawe sio kuzomea tu