Uhondo Uswahilini

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740
1210507457_2_utumbo_web.jpg


UHONDO USWAHILINI

Wakazi hawa wa Jijini la Dar, leo asubuhi walifumwa na kamera yetu katika vilabu vya pombe za kienyeji vya Kigogo Luhanga wakichangamkia nyama choma maarufu kwa jina la Mikwasukwasu, Ukitaka kujua bei zao kipande cha utumbo wa kuchoma ni shilingi 100/= ukitaka Bigijii 200/=, nyama hii ni mfano wa steki, huitwa Big G kwasababu unapoitafuna kipande chake unaweza kutumia hata zaidi ya saa tatu hujakimaliza!!

Gonga Hapa
 
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!
 
Nyama hizo zinawafaa wenyeji wa huko tu ambao huzila daily, mwenzangu na mie ukilogwa ukajitusu tu huko umeisha, yaani ubebe na kajitoilet paper kabisa!!

Hizi nyama ni maarufu sana huko 'uwanja wa fisi' Inasemekana ukienda na Sh. 1,000/= utakunywa, uwanunulie jamaa, utapata nyama choma na unaondoka na mwanamke!
 
teh teh teh,ebwana nilikuwa bongo mda kidogo lakini sijasikia hiyo nyamaa inayoitwa bigijii,duh,yawezekana ukila usipate haja kubwa,duh teh teh teh
 
Uwanjanwa fisi nyama za vibudu wale wa nyama wote wanaokufa wenyewe hawatupwi wanauzwa pale..kama ng'ombe kafa..mbuzi nk pale ndio wanauzwa
 
1210507457_1web_lala.jpg
jamaa kauchap usingizi baada ya kutoka kubeba lumbesa..huyo pembeni anakunywa gahwa..kupoza njaa kaazi kweli kweli
 
1210343336_3web.jpg
watu kama hawa mara nyingu hawajui hata kama kuna mafisadi maana hawana muda hata wa kusoma magazti au kusikiliza radio ila wakija kuwajua ndio inakua kivumbi maana watawatupia hata mawe sio kuzomea tu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom