Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
- Thread starter
- #21
It is possiblewanashangaa hiyo 1.3M imefika vipi kwenye mshahara wa 170k?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
It is possiblewanashangaa hiyo 1.3M imefika vipi kwenye mshahara wa 170k?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa, nashukuru sanaalime matikikiti heka 1 atatoa milioni tatu we wacha kumshauri kijana kuhusu kilimo aendeleze ufugaji wake wa kuku ndo ana experience nao ajichanganye sasa akafanye kilimo aje hapa analialia
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
unAzingua we jamaa, yan we huwa ni kusubiri waje watoe muongozo.hujawai toa comment tofauti na hii .Ngoja waje kukupa muoongozo...
Mpe mchongo wa laki 6 Sasa ili aache wa 170k!!Acha kazi kwa mwezi 170 mbona ndogo.....Afazali ingekua laki 6
Alaf watu mbona mnapenda sana kujiendekeza, unakaa kabisa kwenye kazi ya mtu alaf akulipe 170k? Hivi ukiamua kufanya mishe zako mwenyewe unashindwaje kuingiza kiasi hicho na zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo mkuu kwa mwezi unatumia 30k tu 140k zote unasevu!?? Tuanzie hapo...Habari za muda huu Wana JF
Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.
Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.
Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.
Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.
Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.
Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.
Karibuni kwa ushauri.
nipo apa mze wa blandalingUalimu ni Kazi ya kimaskini Sana. Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufundisha zaidi ya miaka mitatu lakini nilitoka patupu. Ni AIBU.
Ila nakushauri usiache Kazi. Sikuhizi Biashara zenyewe hazieleweki kufilisika imekuwa kama wimbo vile.
Ila Karibu kwenye fani zetu za Ufundi uwezi kukosa kitu.
Mimi hapa Fundi Bomba
Fundi Kupaua
Fundi Umeme
Fundi simu na computer
Jifunze hapo hata kimoja hutolala njaa.
Mpaka hapo mbona Kama huna haha ya ushauri ndugu maana unaonekana umejipanga, una malengo na mikakatiHabari za muda huu Wana JF
Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.
Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.
Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.
Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.
Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.
Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.
Karibuni kwa ushauri.
Uko lindi tafuta shamba lima upupuHabari za muda huu Wana JF
Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.
Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.
Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.
Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.
Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.
Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.
Karibuni kwa ushauri.