Uhauri: Nalipwa 170k kwa mwezi, how can I survive?

Alaf watu mbona mnapenda sana kujiendekeza, unakaa kabisa kwenye kazi ya mtu alaf akulipe 170k? Hivi ukiamua kufanya mishe zako mwenyewe unashindwaje kuingiza kiasi hicho na zaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu Wana JF

Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.

Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.

Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.

Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.

Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.

Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.

Karibuni kwa ushauri.
Kwaiyo mkuu kwa mwezi unatumia 30k tu 140k zote unasevu!?? Tuanzie hapo...
 
Ualimu ni Kazi ya kimaskini Sana. Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufundisha zaidi ya miaka mitatu lakini nilitoka patupu. Ni AIBU.
Ila nakushauri usiache Kazi. Sikuhizi Biashara zenyewe hazieleweki kufilisika imekuwa kama wimbo vile.

Ila Karibu kwenye fani zetu za Ufundi uwezi kukosa kitu.
Mimi hapa Fundi Bomba
Fundi Kupaua
Fundi Umeme
Fundi simu na computer
Jifunze hapo hata kimoja hutolala njaa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ualimu ni Kazi ya kimaskini Sana. Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufundisha zaidi ya miaka mitatu lakini nilitoka patupu. Ni AIBU.
Ila nakushauri usiache Kazi. Sikuhizi Biashara zenyewe hazieleweki kufilisika imekuwa kama wimbo vile.

Ila Karibu kwenye fani zetu za Ufundi uwezi kukosa kitu.
Mimi hapa Fundi Bomba
Fundi Kupaua
Fundi Umeme
Fundi simu na computer
Jifunze hapo hata kimoja hutolala njaa.
nipo apa mze wa blandaling
 
Habari za muda huu Wana JF

Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.

Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.

Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.

Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.

Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.

Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.

Karibuni kwa ushauri.
Mpaka hapo mbona Kama huna haha ya ushauri ndugu maana unaonekana umejipanga, una malengo na mikakati

Kikubwa endelea na kazi yako kwakua bado upo nyumbani na usishawishike kwenda kupanga !

Endelea ku save huku ukiwaza namna ya kuwekeza pesa zako.
 
Habari za muda huu Wana JF

Kama nilivyotanguliza hapo juu, maisha mtaani ni magumu sana, kama una roho nyepesi unaweza kata tamaa.

Baada ya kumaliza chuo (bachelor of education) ndio nilithibitisha yaliyosemwa na wengi kuwa maisha ya kitaa ni magumu sana, kwakweli sikua na mishe ya kuniingizia hata buku, then nikaamua bora nijitolee lakini malipo ndio ilikuwa changamoto, nilifanya kazi miezi mitatu bila malipo.

Kwa bahati nzuri rafiki yangu akaniunganisha na kazi ya ualimu shule ya private (pre and primary), basi sikufanya ajizi bhana, nikaomba iyo kazi na nikapata (alhamdulillah)
Nilivyoanza nilikuwa napewa 150k per month lakini baada Kama ya miezi miwili ukapanda na kuwa 170k.

Kwakweli mshahara huu hautoshi hata kidogo, lakini kwa bahati nzuri naishi home, nakula bure, nalala bure ila nachangia bill ya umeme na maji na kidogo katika chakula kwakua nafanya na shughuli za ufugaji wa kuku pia, kwaiyo napata fedha pia kupitia ufugaji ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.

Kutokana na kujinyima huko nafanya saving ya 140k kila mwezi, hivyo mpaka sasa nimefanikiwa kuweka akiba ya 1.3 million, najua ni ela ndogo lakin naweza fanya kitu katika ujasiriamali, nimewaza cha kufanya lakini nimekosa jibu la moja kwa moja nifanye nini ukizingatia mkoa niliopo hauna fursa nyingi za kiuchumi (mkoa wa Lindi) na mtaji wenyewe nilionao ni mdogo sana.

Wakuu nawakaribisha mnipe ushauri katika hili, nifanye nini ukizingatia umri unaenda, natamani namimi kuwa na familia yangu na kuwa na maisha mazuri.

Karibuni kwa ushauri.
Uko lindi tafuta shamba lima upupu
 
Mkuu nikupongeze ww ni winner kusave kuasi hicho kwa mshahara huo your such a champion. Nikushauri endelea na huo huo ufugaji.
Ongeza mtaji, panua banda na uongeze kuku wa mayai au hata nyama fanya lolote kukuza hiyo shuhuli maana unauzoefu nayo anza kuinvest laki 5 kwanza huku ukiendelea kusave. Kipato chako kwenye kuku kinavyokwa ndo unavyozidi kuongeza mtaji zaidi

Trust me hiyo shuhuli ukifanya serious na kwa ueledi itakufikisha mbaliii. Usiruke kuanzisha kitu kingine au kufanya biashara nyingine ambayo hujawahi ifanya, by the time uanze kujifunza kuhusu changamoto ya biashara mpya hicho kimtaji kitakua kimeshapuputika
 
Nakushauri tafuta binti uoe tumia hiyo pesa yako kulipia mahari na kupanga chumba na fenicha.
Baada ya hapo mambo mengine hataenda vizuri sana,mara nyingi nyege husumbua sana akili na kupelekea watu kufanya matendo ya ajabu sana lakini ww utakiwa salama kwa kuwa tayari utakuwa na uhakika wa kumwaga sperm zako kiulaini.
Nimekushauri kama kaka yako wa kwanza.
 
mkuu mimi nakushauri hiyo 1.3 inatosha kufunguwa duka la dawa kama upo kijijini au town gharama zinatofautiana katika uandaji wa ofisi kati ya mjini na kijijni ,kwa town 800 inatosha kuanzia kuandaa ofsi hadi kusajiri iliyobaki mzigo,ila kijijini 500 inatosha kuandaa hadi kusajiri iliyobaki mzigo kwa maelezo mengine kuhusu kusajiri muhudum wa duka na uendeshaji kama itakupendeza basi tuulizane
 
bora wewe unaunafuu kuliko hata na sisi unaotaka tukushauri, watu kusave tu pesa changamoto ila wewe umeweza. uko vizuri jiamini achana na maushauri utapotea hata huu wangu upotezee, halafu hakuna mshahara unaotosha
 
Back
Top Bottom