Uhamisho na TAMISEMI unatoka lini?

Mwemary

JF-Expert Member
May 25, 2016
330
340
Imezoeleka kila ikifika mwezi wa 10 mwanzoni majina yanatoka naona tamisemi mpo kimya au tumerudi enzi zile hakuna kuhama wala nini?! Ndoa yangu ipo matatani. Jamani toeni majina haraka. Naaachwa mie
 
Tulia wewe tarehe 10 majina hadharani
Itakuwa poa sana.Sijui nitakuwemo?

Halafu nilivyo na bahati mbaya sasa;ile pesa niliyokuwa nimeandaa kwa ajili ya kusafiri kuelekea makao mapya ikiwa mkeka ungetoka,nimeshaitumia yote, na sasa jina langu likiappear itabidi niihamishe familia kwa kutumia lori la mkaa linaloelekea mjini.
 
Itakuwa poa sana.Sijui nitakuwemo?

Halafu nilivyo na bahati mbaya sasa;ile pesa niliyokuwa nimeandaa kwa ajili ya kusafiri kuelekea makao mapya ikiwa mkeka ungetoka,nimeshaitumia yote, na sasa jina langu likiappear itabidi niihamishe familia kwa kutumia lori la mkaa linaloelekea mjini.
Hahh we jamaa unakula wakati umeomba kuhama,inabidi uwaambie wasubiri subiri kukufungashia data sheet mpaka mshahara utoke
 
Uhamisho mwingi ni Watumishi kutoka mikoa mingine kurudi Mikoa waliozaliwa na Mijini. Unajiuliza huyu Msomi wetu kazaliwa Mbeya analalamika kufanyakazi Kibondo - Kigoma! Mchina kazaliwa Chengshang yupo zake Kakonko ndani ndani huko kaweka makao yake na Mamashine yake ya kamali wala hana time wala wasiwasi wowote lkn huyu Mtanzania mwenzangu toka Mbeya mpaka Kakonko kutwa kucha kulalamika yuko mbali na nyumbani! Na aliyetoka Chengshanga asemeje??
Umaskini wetu na Ufinyu wetu wa kufikiri unaanzia hapa! Mtumishi kwa miaka 10 kahamia Vituo 4 tofauti!
Poor you
 
Uhamisho mwingi ni Watumishi kutoka mikoa mingine kurudi Mikoa waliozaliwa na Mijini. Unajiuliza huyu Msomi wetu kazaliwa Mbeya analalamika kufanyakazi Kibondo - Kigoma! Mchina kazaliwa Chengshang yupo zake Kakonko ndani ndani huko kaweka makao yake na Mamashine yake ya kamali wala hana time wala wasiwasi wowote lkn huyu Mtanzania mwenzangu toka Mbeya mpaka Kakonko kutwa kucha kulalamika yuko mbali na nyumbani! Na aliyetoka Chengshanga asemeje??
Umaskini wetu na Ufinyu wetu wa kufikiri unaanzia hapa! Mtumishi kwa miaka 10 kahamia Vituo 4 tofauti!
Poor you
Hoja yako Ni Nini?
 
Uhamisho mwingi ni Watumishi kutoka mikoa mingine kurudi Mikoa waliozaliwa na Mijini. Unajiuliza huyu Msomi wetu kazaliwa Mbeya analalamika kufanyakazi Kibondo - Kigoma! Mchina kazaliwa Chengshang yupo zake Kakonko ndani ndani huko kaweka makao yake na Mamashine yake ya kamali wala hana time wala wasiwasi wowote lkn huyu Mtanzania mwenzangu toka Mbeya mpaka Kakonko kutwa kucha kulalamika yuko mbali na nyumbani! Na aliyetoka Chengshanga asemeje??
Umaskini wetu na Ufinyu wetu wa kufikiri unaanzia hapa! Mtumishi kwa miaka 10 kahamia Vituo 4 tofauti!
Poor you
Jisemee wewe usijifanye mjuaji kuliko mtu aliesomeshwa na wazazi wake au kajisomesha sio kila anaehama anakwenda kwao.
 
Back
Top Bottom