Uhamiaji watupe ufafanuzi

Uhamiaji watupe ufafanuzi

ingependeza zaid kwa wale ambao wanazo hiz passport za zamani kutodaiwa vitambulisho vya NIDA maana taarifa zao tayar zko ktk system...

Baloz zetu za nje ya nchi zingepewa mamlaka ya kidharura ili walioko nje ya nchi waprintiwe huko huko badala ya kusumbuliwa kuja tena nchini!!

Ni kweli taarifa zipo za kuhusu PPT ya sasa, lakini taarifa hizo hazijitoshelezi.

Kwa mfano alama zilizopo kwenye system ya sasa ni alama za vidole tu ambazo huchukuliwa kwenye ofisi za ubalozi nje ya nchi.

Kwenye system mpya kutakuwa na alama na taarifa zingine za ziada na "Unique" ambazo mashine mpya zitaweza kusoma.

Na alama hizi ni lazima zichukuliwe upya kulingana na matakwa ya system hiyo.

Kwa mfano alama za vidole si tu zile ambazo tunachovya kwenye wino, lakini hizi zitahitaji kuwa scanned na system na kupata mistari yote yote za kiganja na vidole.

Ni usumbufu lakini ndiyo hivyo tena imeamuliwa iwe hivyo.
 
kuna point hii ya renewal, kwa kweli ni muhimu sana. Yaani passport unayo lakini ukenda kurenew ni kama vile unaanza upya kuomba passport wakati documents zote wanazo wao.

Sifahamu hasa kwanini tunapenda kusumbuana.
Inaboa sana ile process. Kama mambo yanakwenda kimtandao, kwa nini tujaze fomu upya, finger print upya nk? Yaani sisi tunapoitwa SHITHOLE countries na Trump, matendo kama hayo ndo yanafanya tuitwe hivyo
 
Hili suala la watu wameshapokelewa maombi kabla ya uzinduzi halafu wanatakiwa kujaza upya ni utaratibu mbaya sana. Na kwa bahati mbaya hawapewi hata taarifa, wapo wanasubiri siku walizoambiwa kwenda kumbe huku utaratibu ushabadilika.

Naomba mtaalamu wa NIDA atayepita humu anicheki kando ndugu zangu nahitajj msaada wake.
 
Inaboa sana ile process. Kama mambo yanakwenda kimtandao, kwa nini tujaze fomu upya, finger print upya nk? Yaani sisi tunapoitwa SHITHOLE countries na Trump, matendo kama hayo ndo yanafanya tuitwe hivyo
Mkuu, yaani alivotuita Shit hole, nilitikisa kichwa moyoni nkasema finally someone is speaking the truth. Kuna watu hawakumuelewa wakaanza kumjibu kwa kumuonesha majumba. Kumbe kshit hole kwa mambo kama haya Mi nlivoona mambo ya fingerprint nikajua sasa ni digitized. Kumbe bado sasa tunahitaji e passport.
 
sielewi hata mimi hili suala.
Wanatuchukua fingerprints every now and then,why?ushahidi wote wanao lakini bado ukienda unaanza upya.
Nadhani tatizo haliko kwetu wateja,lipo kwao.
Umeona mkuu, halafu wanasema lazima uwe na kipande cha Nida, let saying unacho cha nida, information zote wanazo including fingers print! Sasa inakuwaje wanachukua fingers print Tena Kila uchao?

Basi itakuwa haina maana ya kuwa na nida, halafu hii systems ya finger print huko Ireland hakuna, Ulaya hakuna, finger printing wanachukuliwa wageni pamoja na wale criminals tu, sasa hii systems sie tuna iga wapi?

Unajua sababu ya Ulaya kukataa finger print ili kuweza kulinda maslahi yao, mfano ikiwa raia wao atafanya uhalifu nje ya nchi,(usalama or whatever) si rahisi kupata information zake, na serikali ya Ulaya itamlinda.
 
KWA SASA MAMBO YATAKWENDA KIELECTRONIC NA SIYO UKITAKA KU RENEW HUTAJAZA HAYO MAFOMU NA UPANDE WA VITAMBULISHO HIVI VYA NIDA VINA MAPUNGUFU SANA BORA HATA HIVI VYA KUPIGIA KULA VINA BARCODE UKISCAN UNAPATA FULL DETAILS KUANZIA JINA UMRI .
 
HEEE NA ADA KUMBE IMEPANDA 150" 000 AISEE..@
LORD HAVE MERCY
 
Nilirenew passport before hii ya kisasa kuja. Nilijazishwa fomu kama vile sijawahi kuwa na passport. I am sure, information zangu za zamani walikuwa nazo kwenye system. Hapa ndio nnaposhindwa kuelewa kwanini mtu uanze kujaza upya.

Mimi yangu ina expire 2027 (nimerenew mwaka jana), kiuhalisia nikitaka kwenda kurenew, nawakabidhi yangu wananipatia nyingine, sio tena nianze kujaza mafomu wakati kila kitu kipo kwenye system.
Hawana systemhawa jamaa....vilaza kabisa.
 
Hili suala la watu wameshapokelewa maombi kabla ya uzinduzi halafu wanatakiwa kujaza upya ni utaratibu mbaya sana. Na kwa bahati mbaya hawapewi hata taarifa, wapo wanasubiri siku walizoambiwa kwenda kumbe huku utaratibu ushabadilika.

Naomba mtaalamu wa NIDA atayepita humu anicheki kando ndugu zangu nahitajj msaada wake.

aisee hili swala lilitaka kunipata mimi mkuu
 
Mkuu, yaani alivotuita Shit hole, nilitikisa kichwa moyoni nkasema finally someone is speaking the truth. Kuna watu hawakumuelewa wakaanza kumjibu kwa kumuonesha majumba. Kumbe kshit hole kwa mambo kama haya Mi nlivoona mambo ya fingerprint nikajua sasa ni digitized. Kumbe bado sasa tunahitaji e passport.
Inauma sana.
  • Kwenye kuandikisha kupiga kura wanachukua taarifa zetu na alama za vidole
  • Kuandikisha kitambulisho cha uraia wanachukua taarifa zetu na alama za vidole
  • Paspoti wanachukua taarifa na alama za vidole
Hivi hakuna harmonization ya hizo data? Hawana databank? Hasa uhamiaji, ambapo hata paspoti ikiisha mwaka huo huo ulioomba lazima upitie process nzima upya! Inakera hii
 
Back
Top Bottom