Uhamiaji watupe ufafanuzi

Uhamiaji watupe ufafanuzi

Nimesoma habari ya uvumbuzi wa passport mpya, kigezo cha kuweza kupata passport hio,lazima uwe na kitambulisho cha NIDA, sasa nauliza kwa walio kuwa wanaishi nje ya Tanzania wasio kuwa na kitambulisho cha NIDA, ni mashart yepi ya kupatiwa passport?

Jengine tunaomba uhamiaji wabadilishe mfumo wa uombaji maana kila tunapo badilisha passport, ni mfumo ule ule wa kuomba passport kama upya ihali uhamiaji wa documents zote za uombaji wa passport ya mwanzo.

Haya ndio ma suali ambayo tunayo jiuliza wana diaspora.

Shukran
mpaka sasa hivi ni watanzania wangapi walishapata vitambulisho vya NIDA? NIDA wanachukua taarifa za watu wanakuonesha na sample ya ID kwenye computer halafu wanaondoka huwaoni
 
Nimesoma habari ya uvumbuzi wa passport mpya, kigezo cha kuweza kupata passport hio,lazima uwe na kitambulisho cha NIDA, sasa nauliza kwa walio kuwa wanaishi nje ya Tanzania wasio kuwa na kitambulisho cha NIDA, ni mashart yepi ya kupatiwa passport?

Jengine tunaomba uhamiaji wabadilishe mfumo wa uombaji maana kila tunapo badilisha passport, ni mfumo ule ule wa kuomba passport kama upya ihali uhamiaji wa documents zote za uombaji wa passport ya mwanzo.

Haya ndio ma suali ambayo tunayo jiuliza wana diaspora.

Shukran

Mkuu, kuna dawati la wanadiaspora lilitengwa rasmi kwa ajili ya ID cards za NIDA kwa wana diaspora na mtu alietajwa kushughulikia hilo alitajwa dada mmoja hivi wa Foreign na sasa nimesahau kuhusu hilo.

Kama nakumbuka vizuri taarifa zilizotolewa miaka 2 ilopita katika tovuti ya ubalozi wa Tanzania UK kwa watanzania ambao walitaka kupata ID cards kwa wakti ule na sasa haipo tena.

Kwa muda kidogo mimi nilirudi nchini Tanzania na sasa natarajia kwenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wangu ili anithibitishe nipate kadi yangu ya NIDA, kisha niombe PPT mpya, ingawa bado ninayo PPT ya sasa ambayo inaisha 2026.

Inavyoonekana ni kwamba itabidi kufanyike utaratibu maalum wa kuwapatia watanzania waliopo nje ya nchi kadi hizi kwa NIDA kuwafuata hukohuko badala ya kuwataka watanzania hawa kurudi nyumbani ili kupata kitambulisho hicho.

Hili ni zoezi gumu na litahitaji mashauriano kati ya mabalozi na idara ya uhamiaji.

Vinginevyo ni kwamba kama mtu unahitaji kuwa na PPT yako na ni lazima kwa wakti huu uwe nayo basi inabidi ujipange ndani ya miaka hii miwili ijayo uchukue likizo kuja huku TZ kupata ID card halafu PPT.
 
Mbona mimi nilifanya renew bila taratibu sumbufu?
 
Ni Transition period tu , hata hili itafikia muda tutaliona ni jambo la kawaida na kupata soln zake, hoply watafanyia kazi.
 
Unatumia mabilioni kwenye passport huku maji,umeme,elimu,afya vinatiisha huruma mmno,hospitali na shule zetu majengo ya hovyo pengine udongo,vifaa duni pengine hakuna lakini hatuoni ni ajabu na aibu. Kunamzungu aliingia wodi ya uzazi huku kwetu akatapika na kuanza kulia. Its a shame viongozi wetu wanavyojibaraguza kwenye mambo yasiyo ya msingi ili kutafuta sifa!! SHAME!!
Ndomana tunatukanwa na kudharauliwa na wenzetu
 
Nimesoma habari ya uvumbuzi wa passport mpya, kigezo cha kuweza kupata passport hio,lazima uwe na kitambulisho cha NIDA, sasa nauliza kwa walio kuwa wanaishi nje ya Tanzania wasio kuwa na kitambulisho cha NIDA, ni mashart yepi ya kupatiwa passport?

Jengine tunaomba uhamiaji wabadilishe mfumo wa uombaji maana kila tunapo badilisha passport, ni mfumo ule ule wa kuomba passport kama upya ihali uhamiaji wa documents zote za uombaji wa passport ya mwanzo.

Haya ndio ma suali ambayo tunayo jiuliza wana diaspora.

Shukran
Ubalozini wanayo majibu yote
 
Watu wengi tu tupo hapa Tanzania hatuna vitambulisho vya taifa, utaratibu wa kupata vitambulisho vya taifa ni mbovu
Utaratibu wa kupata vitambulisho sio mbovu, unaendeshwa hatua kwa hatua, ngazi kwa ngazi; ila ebu zingatia figure hii 23000 kwa kila kitambulisho kwa wananchi zaidi ya 20m
 
Nilirenew passport before hii ya kisasa kuja. Nilijazishwa fomu kama vile sijawahi kuwa na passport. I am sure, information zangu za zamani walikuwa nazo kwenye system. Hapa ndio nnaposhindwa kuelewa kwanini mtu uanze kujaza upya.

Mimi yangu ina expire 2027 (nimerenew mwaka jana), kiuhalisia nikitaka kwenda kurenew, nawakabidhi yangu wananipatia nyingine, sio tena nianze kujaza mafomu wakati kila kitu kipo kwenye system.
Hawataki kujaza server zao na docs zenu. Muhimu mjitunzie taarifa zenu ninyi wenyewe wao watazihakiki tu na kuthibitisha uraia wenu!!!
Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo wote.
 
Nilirenew passport before hii ya kisasa kuja. Nilijazishwa fomu kama vile sijawahi kuwa na passport. I am sure, information zangu za zamani walikuwa nazo kwenye system. Hapa ndio nnaposhindwa kuelewa kwanini mtu uanze kujaza upya.

Mimi yangu ina expire 2027 (nimerenew mwaka jana), kiuhalisia nikitaka kwenda kurenew, nawakabidhi yangu wananipatia nyingine, sio tena nianze kujaza mafomu wakati kila kitu kipo kwenye system.
sielewi hata mimi hili suala.
Wanatuchukua fingerprints every now and then,why?ushahidi wote wanao lakini bado ukienda unaanza upya.
Nadhani tatizo haliko kwetu wateja,lipo kwao.
 
sielewi hata mimi hili suala.
Wanatuchukua fingerprints every now and then,why?ushahidi wote wanao lakini bado ukienda unaanza upya.
Nadhani tatizo haliko kwetu wateja,lipo kwao.
EEExactly!!! hizi finger prints walikuwa wanatuchukua za kitu gani. Na vipi watajua kama huyu raia halali na huyu haramu? mi nataka nijue huo utaratibu waliojiandaa kuutumia ambao saivi na hichi kitabu hawawez kufanya.
 
Unatumia mabilioni kwenye passport huku maji,umeme,elimu,afya vinatiisha huruma mmno,hospitali na shule zetu majengo ya hovyo pengine udongo,vifaa duni pengine hakuna lakini hatuoni ni ajabu na aibu. Kunamzungu aliingia wodi ya uzazi huku kwetu akatapika na kuanza kulia. Its a shame viongozi wetu wanavyojibaraguza kwenye mambo yasiyo ya msingi ili kutafuta sifa!! SHAME!!
Ndomana tunatukanwa na kudharauliwa na wenzetu

Mkuu, mradi umefadhiliwa na serikali ya Ireland.

Lengo ni kudhibiti PPT yetu kuondoa hujuma na kurahisisha matumizi yake kielekroniki na kuiweka PPT yetu katika viwango vya kimataifa.
 
ingependeza zaid kwa wale ambao wanazo hiz passport za zamani kutodaiwa vitambulisho vya NIDA maana taarifa zao tayar zko ktk system...

Baloz zetu za nje ya nchi zingepewa mamlaka ya kidharura ili walioko nje ya nchi waprintiwe huko huko badala ya kusumbuliwa kuja tena nchini!!
 
Hahaha kuna watu wanalilia passport wakati hawazitumii kama mimi hapa. Msiozihitaji muisaidie serikali kubana matumizi, wanakopa kila siku na pesa hazitoshi jamani.
 
Back
Top Bottom