EMALON MMARY
New Member
- May 5, 2014
- 1
- 0
Wadau naomba kuuliza kuwa wale tulioomba nafasi za uhamiaji, nani anataarifa kuwa wanatoa lini majibu???
wanaboa
Da yani mpaka nimesahau kuwa nili apply
majanga
WASHAANZA KUPIGA SIMU !! KUNA WATU TAYARI WASHAFANYIWA INTERVIEW NA WENGINE WANAENDELEA WE SUBIRI TU !!! MAMBO KIMYA KIMYA !! niko amana wadau dengue nomaaa sana niombeeni