Uhamiaji Tanzania badilikeni

Mkuu niliapply yangu mwaka jana na ya mtoto mwaka huu zote nikiwa home kupitia computer yangu. Nikalipa control number hiyo 20 na kuprint. Kwao nilienda kusubmit tu documents, Labda kama utaratibu wamebadili miezi ya hivi karibuni.
Mimi nilifanya hvo kujaza kila details Hadi kulipia control number ikagoma kabisa kwenda kwa wale vishoka wa uhamiaji wenye access na system wakajaza tu na kuingia nikalipia form upya ikakubali, nikawauliza wakasema raia wengi wanaojaza wenyewe na kulipia huwa inagoma Hali inayowalazimu kujaza mara nyingi bila mafanikio mpaka wao wenye access wawalipe na kujaza na ku print. In short hii system ina wizi bila vishort wenye access na system hu print hzo form
 
Hi issue siyo nyepesi Sana kuichambua na kutoa maamuzi, ukiangalia documentary za biashara ya kusafirisha watu utagundua ipo hatari kubwa Sana. Kwa mfano ukiangalia clip inayosambaa inaonyesha kampuni ya ndani lakini aliyekutwa na passport Ni raia wa misri. Hawa wasafirishaji watu awaangalii maisha yako huko wanapokupeleka wanaangalia fedha. Huwezi kuniaminisha kwa huyo Mmisiri ana uchungu Sana na Watanzania Hadi kuja kuweka kambi hapa nchini na kukusanya pasipoti za Tanzania zaidi ya 90 nyumbani kwake. Kisheria Hana mamlaka yakushikilia hizo pasipoti na Kama hapa tu ameshikilia hizo pasipoti je wakifika huko nje wataruhusiwa hata kutoka nje?
Nimekaa uarabun nimejionea huu utumwa mpya unaoletwa na matajiri hasa wa kiarabu.

Lakini pia nimejaribu kutafuta tangazo la hiyo kampuni mtandaoni sijaona, je wanapataje watu Kama siyo kulaghai watu? Wangekuwa huru na wanafanya Jambo linalokubalika kisheria wangetangaza hizo nafasi za kazi lakini wanafanya kimyakimya.

Mwisho, huwezi kuona hao wasafirishwa wakikatiwa au kukodiwa ndege, wanasafiri was mmoja mmoja Tena wakieleza wanaenda kusoma au kutembelea ndugu.

Mimi kwa hii sikubaliani nayo. Wafanye wazi na watangaze wanasafirisha vijana wetu kuwapeleka wapi?

Mwisho, uzoefu wetu tuliokaa huko uarabuni watu Hawa wanakwenda na majina tofauti na majina yao halisi hasa wakristo utakuta Wana majina ya kiislamu kulingana na mwajiri. Kama Uhamiaji awakufanya kwa siasa, wajaraibu kuhoji kila mmiliki wa pasipoti watabaini Wana majina tofauti na nyaraka zao ametengeneza huyuo mmisiri.

Mm nawaunga mkono Uhamiaji ila serikali iweke mfumo rasmi wa watu kwenda kufanya kazi nje.


Mosi, sio kila anayeenda nje anaenda kufanya kazi za ndani. Wengine wanaenda kwa shughuli zingine tu ila wote wanapitia wakati mgumu kupata hati za kusafiria.

Pili, ni uzwazwa kwa serikali kuwaadhibu watu wote wanaotafuta pasipoti kwa kisingizio wataenda kunyanyaswa huko nje ndo maana mleta uzi kashauri pasipoti zitolewa haraka na bila masharti mengi ila serikali iweke nguvu kuverify hizo agencies badala ya hivi sasa ambapo wanaziacha agencies uchwara zifanye kazi huku wanaumiza wananchi wote wanaotaka pasipoti.
 
Nashindwa kuelewa kwanini watu wanalalamika kuhusu ugumu wa kupata passport!?jamani si tumekubaliana passport ni Laki 3, yaani Laki na nusu ni ya serikali na laki na nusu ni yakubrashia viatu!tatizo mnatafuta amani kwenye uwanja wa vita!passport unaweza kupewa siku hiyo hiyo inategemea tu upo serious kiasi gani! Hakunaga mteremko kwenye mambo serious!
Nipe tips ili nikienda nizungushe mlungula niondoke nayo hiyohiyo siku
 
Inasikitisha Sana eti sasa mabinti wanasafiri sana nje kujiuza jamani mbususu si zetu tunaenda tafta maisha maana huku nchini hali mbaya ya uchumi sasa why wazuie watu.
Hii nchi haina u dona kantre yenyewe inahitaji kusaidiwa kabla haijafilisika
Cariha mbususu ni nini?
 
Mimi nilifanya hvo kujaza kila details Hadi kulipia control number ikagoma kabisa kwenda kwa wale vishoka wa uhamiaji wenye access na system wakajaza tu na kuingia nikalipia form upya ikakubali, nikawauliza wakasema raia wengi wanaojaza wenyewe na kulipia huwa inagoma Hali inayowalazimu kujaza mara nyingi bila mafanikio mpaka wao wenye access wawalipe na kujaza na ku print. In short hii system ina wizi bila vishort wenye access na system hu print hzo form
Mkuu uliipata kwa muda gani?, na uliwapa shilingi ngapi kuku apply hzo online form?
 
Inasikitisha Sana eti sasa mabinti wanasafiri sana nje kujiuza jamani mbususu si zetu tunaenda tafta maisha maana huku nchini hali mbaya ya uchumi sasa why wazuie watu.
Hii nchi haina u dona kantre yenyewe inahitaji kusaidiwa kabla haijafilisika
Cariha hao wana suggest mbususu zichaktwe hapa hapa na wazalendo ili tusipate hasara na wakikuona ni msumari basi wana assume lazima mabeberu wataichakata vilivyo 😂
 
Mimi nilifanya hvo kujaza kila details Hadi kulipia control number ikagoma kabisa kwenda kwa wale vishoka wa uhamiaji wenye access na system wakajaza tu na kuingia nikalipia form upya ikakubali, nikawauliza wakasema raia wengi wanaojaza wenyewe na kulipia huwa inagoma Hali inayowalazimu kujaza mara nyingi bila mafanikio mpaka wao wenye access wawalipe na kujaza na ku print. In short hii system ina wizi bila vishort wenye access na system hu print hzo form
Nimewahi kuwa fanyia watu kadhaa kama watatu kwa miezi tofauti kila moja na mimi wanne , lakini sijawahi kukutana na issue kama yako,
Labda wakati unafanya kulikuwa na network problem kwenye system yao au mfumo wa malipo Gepg... lakini sidhani kama wanaweza kufungia mtu asi print hadi wao waruhusu..

pole sana.
 
Nitasema mambo mawili tu:

1) Mabosi wa kihindi Tanzania ni Wanyanyasaji wakubwa kwa watanzania

2) Wafanyakazi wa Migration Tanzania ni Washamba sana bado.
 
Inasikitisha Sana eti sasa mabinti wanasafiri sana nje kujiuza jamani mbususu si zetu tunaenda tafta maisha maana huku nchini hali mbaya ya uchumi sasa why wazuie watu.
Hii nchi haina u dona kantre yenyewe inahitaji kusaidiwa kabla haijafilisika
Wanazionea wivu wanashindwa kusema 😅😅
 
1. Kazi yenu ni kutoa passport sio kujua mtu anaenda wapi. Passport ni haki ya kila mtu. Jifunzeni kutoka nchi nyingine.

2. Sasa hivi Tanzania ajira hamna. Mnanyima watu passport maana yake wafe na njaa wakiwa Tanzania. Jifunzeni kwa nchi jirani. Kenya, Uganda hata Rwanda raia wao wanafanya kazi nchi mbalimbali kama Dubai, Qatar, Canada, South Africa, Botswana, Namibia, Ubelgiji, Norway n.k Nyie mmekuwa mwiba kwa watanzania.

3. Sio kila recruitment agency inayopeleka watu kufanya kazi Ulaya, America na Asia ni matapeli. Acheni kukariri. Dunia ya leo huwezi kupata kazi nje ya nchi bila kutumia agent. Badilikeni. Kila kampuni mnaita matapeli hivi hamuwezi kutrace kujua uhalali wa kampuni? Jiongezeni.

4. Mnapenda sana makamera kudhalilisha watu wanaoenda nje kupambana na maisha. Nyie mpo ofisini mnakula mishahara muwaache vijana wakapambane nje. Tanzania kazi hamna hata hizo za saidia fundi hamna.

5. Mnasema mtu akienda kufanya kazi nje ananyanyaswa. Mnajua manyanyaso yapo kila mahali ni bora mtu akanyanyaswe nje alipwe milioni kwa mwezi kuliko unyanyaswe na makampuni ya Tanzania halafu ulipwe laki na nusu. Hivi mnajua mishshara wanayolipwa wafanyakazi wa Bakhresa, Mohamed Enterprises, viwanda vya pale mikocheni kama Frostan n.k, mnajua hata hapo Ubungo EPZ watu wanaingia saa 1 asubuhi kutoka saa 11 na mshahara ni laki na nusu? Huo sio unyanyasaji?

6.Kampuni ya G4S Security imeajiri watu kutoka Uganda wanafanya kazi ya Ulinzi Asia na Ulaya na wanalipwa mamilioni. Na hizo kazi lazima agent atumike. Fatilieni makampuni ya ajira kisha mtoe orodha ili vijana wajue kampuni ipi ni genuine sio kuzuia tu vijana wasitoke nje ya nchi.

ACHENI WATU WAKAFANYE KAZI NJE YA NCHI.
Utaulizwa sana maana makosa ya Usafirishaji haramu wa binadamu ,Ugaidi, Utakatishaji wa pesa,Armed Robbery, Yanaanzia huko kwa kujifanya unapeleka watu sehemu salama kumbe unakwenda kufunza ugaidi na mbinu mbalimbali za Uhalifu .Pongezi kubwa kwa Idara ya Uhamiaji kwa kazi nzuri ya kulinda Nchi.
 
Nimewahi kuwa fanyia watu kadhaa kama watatu kwa miezi tofauti kila moja na mimi wanne , lakini sijawahi kukutana na issue kama yako,
Labda wakati unafanya kulikuwa na network problem kwenye system yao au mfumo wa malipo Gepg... lakini sidhani kama wanaweza kufungia mtu asi print hadi wao waruhusu..

pole sana.
Nililipa ikakubali kabisa na ikaingia serikalini kabisa cha kushangaa ikawa inagoma. In short waliniibia hela yangu ya form wakati mwenyewe hutumia internet na laptop yangu kufanya mengi
 
Cariha hao wana suggest mbususu zichaktwe hapa hapa na wazalendo ili tusipate hasara na wakikuona ni msumari basi wana assume lazima mabeberu wataichakata vilivyo
sasa hapa kuchakatwa masilahi duni kabisa kwa mbususu aisee
 
Mkuu uliipata kwa muda gani?, na uliwapa shilingi ngapi kuku apply hzo online form?
Nilitoa elfu kumi Eti kujaziwa form wakati niliijaza mwenyewe hadi kulipia form kwenye printing ikagoma. Dah buku kumi yangu iliniuma sana aisee bado printing na hyo hela ya form upya aaargh
 
Kwenye kuhitaji passport waombaji wengi wanakwamaga sehemu mbili ..kwenye kazi na sehemu unayokwenda. Unakuta mtu anajaza linchi kama marekani au UK huko nchi ambazo zina mlolongo wa kupata visa. Jaza hata Botswana au hata Sudan nchi ambazo tz tunaingia kwa passport tu.

Hapo hutaulizwa barua ya mwaliko sijui nini ..Na kwenye kazi hapo kama hauna Ndo kipengele ..mfano Mimi nilitumia "MHITIMU WA CHUO" basi nikapeleka vyeti tu vya chuo mzigo ndani ya week nikaupata.

Na kwenye dhumuni la safari wee andika hata matembezi..siyo kesi ama nini ..siyo unajaza kusoma na ukiombwa barua ya kutoka chuo huna hata ya kufoji na hapo unakuwa unafeli..

Kama hauna kazi wala biashara yeyote na una vyeti vya shule wee andika tu umehitimu chuo, it means bdo hujapata kazi na pengine biashara bado huna ..maana kwenye biashara ni lazima uwe na leseni na Tin no.

Ila kama na vyeti vya taaluma huna basi itabidi tu mkono uwe mrefu kidogo laasivyo itakuwa ngumu kupata mzigo.
 
Back
Top Bottom