Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Interesting......Slaa anaibomoa CHADEMA Zitto anachunguzwa uraia....
CCM wanaendelea na kampeni....Lipumba ka quit....
Whoever is behind all this ni 'genius' wa mikakati...
Waendelee na kampeni lkn watuambia Katiba ya Wananchi itapatikana? Atapambanaje na mafisadi kwa katiba pendekezwa? Story zinatosha tunataka substance