muhandu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 311
- 82
Ni tarehe 17 Oct walikuja maafisa wawili wa kike pale bajaji(oppna sigara)wakakuta wahindi wanafanya kazi huku wakiwa hawana permit na passports.Kwa kuwa ni shamba lao waliondoka na mmoja wao SULESH baada ya masaa kadha alirudi.Walitoa mshiko.HAO NDO UHAMIAJI BWANA.JE KUNA SEHEMU NGAPI WANAPITA KUKUSANYA SALIO??!