Hii ni shida sana hili jukwaa watu wanaongozwa na mahaba ya kidini kuliko uhalisia wa mambo ndio maana wengi wameishia kumtukana mtoa mada ingawa ana hoja nzito sanaHongera mkuu, wengine watakuja na matusi bila ya ushahidi ila usivunjike moyo !!! Nimefaidika hapa . Ahsante
mtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)Si ndio History hiyo hiyo inayoamini katika Evolution na sio Creation? inayoamini binadamu alitokana na nyani? History imetudanganya mengi sio kitu cha kuamini,amini maandiko ndugu yangu
Ulitumia kipimo gana(researchTel Aviv ndo mji unaongoza kwa mashoga dunian baada New York city
hapana mkuu sidhani kama kuna ukweli hapomtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)
je kuna ukweli wowote hapo?
Ulitumia kipimo gana(research
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.Ogopa laana ya Mungu YEHOVA kila silaaniye Israel atalaaniwa na yule aibarikie naye atabarikiwa.
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.
Tel Aviv ndo mji unaongoza kwa mashoga dunian baada New York city
lakini kuna mtu anaitwa nabii enock?hapana mkuu sidhani kama kuna ukweli hapo
asante kwa taarifaAfadhali na wewe umeliona hili.
mtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)
je kuna ukweli wowote hapo?
Nawewe weka kifungu cha kukanusha.Weka kifungu Cha Biblia kinacho buck up haya maneno yako
Ngoja niangalie namna ya kuiweka hapa.inaniambia ni invalid format
kama hujaelewa kivipi wamisri walikua weusi bola ungeuliza kuliko kuleta kejeli ilhali huna hoja na hujui lolote, mbona jamaa katueleza vizuri sana tena kwa kutumi shahidi za kihistoria na kibiblia.Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.