Uhalisia wa taifa la Israeli

Si ndio History hiyo hiyo inayoamini katika Evolution na sio Creation? inayoamini binadamu alitokana na nyani? History imetudanganya mengi sio kitu cha kuamini,amini maandiko ndugu yangu
mtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)

je kuna ukweli wowote hapo?
 
mtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)

je kuna ukweli wowote hapo?
hapana mkuu sidhani kama kuna ukweli hapo
 
Ogopa laana ya Mungu YEHOVA kila silaaniye Israel atalaaniwa na yule aibarikie naye atabarikiwa.
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.
 
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.

Subiri matusi , hongera kwa ufafanuzi !!!!
 
subiri waisraeli wa kidini watakavyokushukia kwa matusi,
siyo Israeli hiyo unayoiona sasa. ingekuwa hivyo Urusi, China, Germany, Saudi arabia, Misri na kwingineko wangekuwa maskini sana. badala yake sisi wajinga wa dunia ya tatu tunaowashobokea umaskini, ujinga, njaa, magonjwa ndo yetu. pia maandiko hayakusema ailaniye Israel atalaaniwa. Maandiko yalisema kuhusu Ibrahimu kuwa ambarikiye atabarikiwa na amlaaniye atalaaniwa. Ibrahimu ni baba wa mataifa mengi. Ismail alibarikiwa na alitengeneza nataifa 12, Yakobo makabila 12, Esau na yeye alitengenea Taifa lake. hao wotye ni wa uzao wa Ibrahimu. hao wanaojiita Wayahudi unawashobokea ni wabaguzi, wakatili na watu wasio na huruma. wamekwisha kosa uhalali wa kuwa wateule.
 
mtoa mada nasikia kwenye biblia kuna kitabu kilitolewa ambacho kinaelezea vizuri sana kuhusu watu weusi,hiki kitabu kimeandikwa na enock(idrisa)

je kuna ukweli wowote hapo?
 

Attachments

  • Book_of_Enoch.pdf
    0 bytes · Views: 43
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
kama hujaelewa kivipi wamisri walikua weusi bola ungeuliza kuliko kuleta kejeli ilhali huna hoja na hujui lolote, mbona jamaa katueleza vizuri sana tena kwa kutumi shahidi za kihistoria na kibiblia.
 
Back
Top Bottom