Israel ni taifa teule na hata Quran imekiri hivyo, baadhi ya upendeleo kwa macho yetu tunauona

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
521
1,461
QURAN

Allah alichagua manabii wengi (sio wote) wayahudi akiwemo Musa, licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa, Allah aliendelea kuchagua wayahudi, upendeleo huu sio bure una sababu zake.

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye mbilionea wengi wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • wana utamaduni wa kujali na kuipenda elimu tangu zamani, katika kila wayahudi 10, sita wana degree.
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ugunduzi na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya kubwa ya Roman Empire yenye makao makuu ulaya ilivamia Israel na kuwapeleka wayahudi utumwani ulaya, hata huko ulaya waliweza kufanikiwa kuwa matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
 
QURAN.

Allah alichagua manabii wengi kutokea ndani ya wayahudi akiwemo Musa licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa ila Allah alipenda wawe wayahudi

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye watu wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • Wanaongozea kwenye teknolojia
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ubunifu na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya ya Romania ilipoivamia Israel na kuwpeleka wayahudi utumwani ulaya, huko waliweza kufanikiwa na kuw matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
Romania imeivamia Israel??
 
Romania imeivamia Israel??
Sio Romania ya sasa, kabla yake kulikuwa na Roman empire, himaya kubwa sana na yenye nguvu

1716374039935.png
 
QURAN.

Allah alichagua manabii wengi kutokea ndani ya wayahudi akiwemo Musa licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa ila Allah alipenda wawe wayahudi

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye watu wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • Wanaongozea kwenye teknolojia
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ubunifu na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya kubwa ya Roman Empire yenye makao makuu ulaya ilivamia Israel na kuwapeleka wayahudi utumwani ulaya, hata huko ulaya waliweza kufanikiwa kuwa matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
Siku zote nasimama na Israel 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱
 
Siku zote nasimama na Israel 🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱
Pamoja na kiburi chao mbele ya Mungu lakini walichaguliwa wao na Mungu anajitoa sana kwao, inafikirisha zaidi.

ila kwa upendeleo waliopewa, upabde mwengine ni adhabu kali sana za muda mrefu kisha wanaokolewa
 
Pamoja na kiburi chao mbele ya Mungu lakini walichaguliwa wao na Mungu anajitoa sana kwao, inafikirisha zaidi.

ila kwa upendeleo waliopewa, upabde mwengine ni adhabu kali sana za muda mrefu kisha wanaokolewa
Ufalme ukatoka kwao,wakapewa watu wengine
 
QURAN

Allah alichagua manabii wengi (sio wote) wayahudi akiwemo Musa, licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa, Allah aliendelea kuchagua wayahudi, upendeleo huu sio bure una sababu zake.

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye watu wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • Wanaongozea kwenye teknolojia
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ubunifu na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya kubwa ya Roman Empire yenye makao makuu ulaya ilivamia Israel na kuwapeleka wayahudi utumwani ulaya, hata huko ulaya waliweza kufanikiwa kuwa matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
Wapigwe tu tumechoka
 
Ku
QURAN

Allah alichagua manabii wengi (sio wote) wayahudi akiwemo Musa, licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa, Allah aliendelea kuchagua wayahudi, upendeleo huu sio bure una sababu zake.

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye watu wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • Wanaongozea kwenye teknolojia
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ubunifu na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya kubwa ya Roman Empire yenye makao makuu ulaya ilivamia Israel na kuwapeleka wayahudi utumwani ulaya, hata huko ulaya waliweza kufanikiwa kuwa matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
Kumbe mnajua. Sasa endeleeni mtajinyonga wenyewe muishe. Achaneni na hilo Taifa kabisa
 
Israel taifa teule la Mungu hata mwana wa daudi Suleimani pamoja na uasherati wake mpaka akaja kuabudu miungu mingine ya wake zake maandiko yanatwambia Mungu alishambariki nyie ni nani mnaowapinga ao waisrael kwaio mifano apo juu
ukiangalia io inchi imepitia mizengwe mingi yakutisha hitla aliwaua mamilioni ya wayaudi bado wakasimama wamezungukwa na nchi zA kiislamu pande zote na bado wapo na utamaduni wao uleule ingikuwa nchi nyingine tungeshaisahau
 
Mungu hana upendeleo, binadamu wote ni sawa kwake. Taifa gani hilo la upendeleo? Huyo ni Mungu wa Waisraeli, tutafute sasa Mungu wa wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom