Bengal Sanke
Senior Member
- May 16, 2011
- 193
- 78
Mfumuko wa bei unazidi kudhibitiwa, bei za viwanja zimeshuka, mashamba ya kukodi yameshuka bei, kodi za nyumba zimeshuka, vinywaji kwa wanywaji bei zimeshuka (Ingawa inategemeana na wapi unataka kupata kinywaji) Kiukweli taratibu tunarudi kwenye hali halisi ya maisha.
Watu wa kipato cha chini walikuwa wanapelekeshwa sana, kufikiria kuwa na kibanda chako ilikuwa ni ndoto maana viwanja kwa mtu mwaminifu kabisa katika shughuri zake vilikuwa havishikiki
Ni maumivu makali sana kwa wapiga dili, mission town, matapeli, wezi wa maofisini maana walikuwa wanapeta tu. Sijasikia wabunge wanaulizia kuongezewa marupurupu kama ilivyokuwa siku za nyuma.
Tofauti ya asiye nacho na aliye nacho ilikuwa inaongezeka kwa kasi mbaya sana
Hongera sana Mheshimiwa Rais na cabinet yako
Watu wa kipato cha chini walikuwa wanapelekeshwa sana, kufikiria kuwa na kibanda chako ilikuwa ni ndoto maana viwanja kwa mtu mwaminifu kabisa katika shughuri zake vilikuwa havishikiki
Ni maumivu makali sana kwa wapiga dili, mission town, matapeli, wezi wa maofisini maana walikuwa wanapeta tu. Sijasikia wabunge wanaulizia kuongezewa marupurupu kama ilivyokuwa siku za nyuma.
Tofauti ya asiye nacho na aliye nacho ilikuwa inaongezeka kwa kasi mbaya sana
Hongera sana Mheshimiwa Rais na cabinet yako