Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

 
Last edited by a moderator:
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?
Nyie endeleeni kujitekenya tu..
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

We ndo una ushabiki kwa taarifa yako. Tayari una mtu unae mshabikila. Kwahio hata uzi wako ni wakishabiki. Kwa heli!
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

Aiiseeeh!! Wewe una akili sana, inaonekana ulizaliwa cku ya jumatatu big-up nakuunga mkono 800% Rais ni Magufuli asiempenda achimbe shimo ajifukieeee.....
 
Naona umemuweka rais ajaye kwenye avatar yako. Kweli na wewe unamkubali.

Nimemuweka kwenye avatar kama KUBWAJINGA tokea 2008 na hatimaye utabiri umetimia.

CPG4p-tWcAA9r_L.jpg
 
Wenzako hawalali wanafanya kampeni usiku na mchana sasa wewe una kenyeka huku wenzako wakipigania mabadiliko
 
Back
Top Bottom