Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

Someni namba1234567890 ndio uhalisia Dr Magufuli ndie Rais wetu. Gunia la kinyesi haliuziki

avue atuonyeshe kama tayari asitujazie inzi ikulu .
alipiga pushapu kuonyesha afya bora jukwaani avue jukwaa tuone
 
fol.jpg
unnamed.jpg Matatizo yetu yatatatuliwa kwa pushup?
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

OK acheni kuendelea na Kampeni fanyeni maandalizi ya kumwapisha haraka
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

Aapishwe kwamba hatouza tena nyumba za serikali?
 
Ukiona wakongwe kama Mdee,Mnyika,Lissu, nk wamezamia ujue mtumbwi umetobolewa
 
Back
Top Bottom