Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

Uhalisia: Magufuli aapishwe tu!

Sisi wengine tunakaa kimya tu maana tukiongea tunatukanwa. Ukweli ni kwamba watu wengi wameanza kukosa imani na Lowassa. Watu walikuwa na mategemeo makubwa sana kwake kwamba kampeni zake zingekuwa na maneno yenye matumaini mapya ya maendeleo na kufichua maovu yote ya CCM, bahati mbaya walichotegemea wamejikuta wakiambulia patupu kwani uwezo wa Lowassa kuongea umekuwa hafifu mno.
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?
Magufuli huyu anayelia kuwa viongozi wa CCM wanamuhujumu?
1443336557238.jpg
 
Hututaki rais asiyejua lugha za kimataifa!ccm jipangeni na tunataka debate na nyingie kwa lugha ya kiingereza
 
TUKIWEKA USHABIKI PEMBENI;-
Jahazi la Lowassa linazama. Wengi wamemgeukia Magufuli. My simple analysis huku mitaani inaonesha Lowassa kapoteza wafuasi wengi ndani ya muda mfupi. Magufuli kishapita kweupe.
Kwa nini asiapishwe mapema?

Sielewi kabisa, ivi nyie magamba mna akili timamu kweli??????
 
Nadhani tusubiri tarehe 26 tutajua nani ni nani
 
Kama wewe matonya

Unaona sasa ndo mi nawaambia tumieni huu mda mnaotoa matusi kunadi mnachosimamia,sera zenu, mabadiliko mnayoyataka maana sera zenu hazipo wazi hazieleweki .....jiaminini
 
Wanaacha kutangaza sera za umoja wao na ni mabadiliko gani wanayatakata wao wanashambulia tu post kwa matusi jirekebisheni machalii wa ukawa

Akili za ngiri @ work
 
Unaona sasa ndo mi nawaambia tumieni huu mda mnaotoa matusi kunadi mnachosimamia,sera zenu, mabadiliko mnayoyataka maana sera zenu hazipo wazi hazieleweki .....jiaminini

Kwakuwa akili huna ndio maana huwezi kuzielewa
 
Back
Top Bottom