Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Sasa ngiri na kinachojadiliwa hapa wapi na wapi hamjiamini tulizeni ubongo enezeni sera zenu za mabadiliko kama mnavyoamini
Kapasue msipa huo kwanza
Sasa ngiri na kinachojadiliwa hapa wapi na wapi hamjiamini tulizeni ubongo enezeni sera zenu za mabadiliko kama mnavyoamini
Kuna coments ukizisoma tu unajua huyu ni Bavicha hawafikirii kabla ya kuandika
Heshima itarudi tu baada ya uchaguzi
Ukiona wakongwe kama Mdee,Mnyika,Lissu, nk wamezamia ujue mtumbwi umetobolewa
Wewe unaandika nini kama siyo mataputapu
Vijana wengi wanaoiunga mkono ukawa ni wavivu wa kufikir hawana hoja wanabwabwaja matusi tu ndo mana wanaburuzwa tu
Magufuli ndo habari ya mjini na vijijini
Kama wewe matonya
Mi nafikir ungebadilika wewe kwanza ndo udai mabadiliko
Mshipa ni tatizo
Umeshatoka kanisani?
Mda huu tuliongea hapa ungekuta ushanipiga na sera mbili tatu za mabadiliko unayoyataka we umebakia mataputapu,mara ngiri,sijui mshipa....jiamini chalii
Me nilidhani Aunt Ezekiel na Ray ndiyo walitembelewa ktk Accounts zao na Team Ushindi ya Lumumba street...
Kumbe mpo wengi, Mliotembelewa.!!!
Kuna wafadhiri wanapasua free of charges
Magufuli ndo habari ya mjini na vijijini
Haha Bavicha bwana vichwa vyenu mnavijua wenyewe