kumbe kuna ma-uhai mengi sanaa yanapotea kwa siku. Imagine mbegu ngapi zinamwangwa na kufa kwa siku.... uwiiiiUhai unaanzia kwenye yai na mbegu za kiume.
Ni kinyume na sheria kumwaga nje ya uke wakati wa kujamiiana. Mbegu zinatakiwa zimwagiwe ndani ya uke.
Ukimwaga nje umeua. 🙂
Usiniulize chochote kuhusu hilo..Narudia sheria ya Bwana kwa wayahudi
Asante! vp kuhusu tunaopata wet dream mkuu?Uhai unaanzia kwenye yai na mbegu za kiume.
Ni kinyume na sheria kumwaga nje ya uke wakati wa kujamiiana. Mbegu zinatakiwa zimwagiwe ndani ya uke.
Ukimwaga nje umeua.
Usiniulize chochote kuhusu hilo..Narudia sheria ya Bwana kwa wayahudi
Maisha yanaanza unapozaliwa 😎Uhai unaanzia kwenye yai na mbegu za kiume.
Ni kinyume na sheria kumwaga nje ya uke wakati wa kujamiiana. Mbegu zinatakiwa zimwagiwe ndani ya uke.
Ukimwaga nje umeua. 🙂
Usiniulize chochote kuhusu hilo..Narudia sheria ya Bwana kwa wayahudi
Kuhusu wet dreams inawezekana umeamka umekojoa kutokana na mwili kuchoka au umekunywa umekula kitu au bia hivi inakupelekea kusimamisha mda mrefu ukakojoa....hilo? LabdaAsante! vp kuhusu tunaopata wet dream mkuu?
Mbaga niaje. Formula si inaeleweka ukiwa na kibamia ukikojoa zinatoka zenyewe njeMaisha yanaanza unapozaliwa 😎
Sperm has life of its own. Mbegu zinasafiri kutafita yai, in a race....kumbe kuna ma-uhai mengi sanaa yanapotea kwa siku. Imagine mbegu ngapi zinamwangwa na kufa kwa siku.... uwiiii
C ndo amezaliwa akiwa na miezi 7 au?Kuna wengine, walianza wakiwa na miezi 7
Duh! sawa.Kuhusu wet dreams inawezekana umeamka umekojoa kutokana na mwili kuchoka au umekunywa umekula kitu au bia hivi inakupelekea kusimamisha mda mrefu ukakojoa....hilo? Labda
Au unaota umelala na mtu ndotoni ukakojoa. Hili tatizo sidhani kama ni jambo zuri
Ila foreplay, masterbation and whatever you do is okay as long as unatakiwa ukojoe ndani ya uke ....
Kukojoa nje ya uke ni dhambi kubwa kwa wayahudi
Mtoto akiwa tumboni anakula, anakunya, analia, ana move. Ingawa anakamilika kwa step anakuwa haiPale ambapo mimba inaweza kuishi nje ya tumbo kama mtoto.