TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 11,195
- 30,750
Zikikusanywa zote kwa pamoja jangwani Kunapatwa na mafurikokumbe kuna ma-uhai mengi sanaa yanapotea kwa siku. Imagine mbegu ngapi zinamwangwa na kufa kwa siku.... uwiiii
Zikikusanywa zote kwa pamoja jangwani Kunapatwa na mafurikokumbe kuna ma-uhai mengi sanaa yanapotea kwa siku. Imagine mbegu ngapi zinamwangwa na kufa kwa siku.... uwiiii
Swali lako mwanzo umeuliza kuhusu nini na sasa hivi unaniuliza kuhusu nini?Baada ya hapo uhai unakaa wapi?
Hata kwenye kopo la mafuta ya Kimbo ilimradi mazingira yaruhusu ukuaji.Then uhai unakaa wapi...
Hana uchaguzi?Mbaga Jr huyu apewe kesi ya uhaini.
Unaulizia uhai upi? Kwa sababu hata mbegu(sperm) za mwanaume na mayai ya mwanamke vina uhai.How come? kwani ikiishi ndani ya tumbo inakuaje mkuu
Kama unazungumzia uhai wote kwa ujumla na sio kuhusu mimba na ubinadamu tu basi uhai umekuwepo siku zote, kinachotokea ni replication yake tu/ kujigawanya kama migomba, majani, uyoga n.kHuuhu kwani, kuna mwingine!
Kwani uhai unakaa kwenye viungo vya uzazi tu? Seli zote kwenye mwili binadamu ni zina uhai, labda kama tunaongelea uhai wa kuzalisha uhai mwingine.Hata kwenye kopo la mafuta ya Kimbo ilimradi mazingira yaruhusu ukuaji.
Mazingira perfect ni yale natural ndani ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Uhai wa binadamu unaanzia wapi? Ndo swali la mada.Kwani uhai unakaa kwenye viungo vya uzazi tu?
Ukazaliwa ndo uhai unaanzia hapo 😎Mbona watoto, wengine hua wanacheza tumboni? kama wanasubiri mpaka wazaliwe how come?