Miss_deejjah
Senior Member
- Jul 17, 2026
- 107
- 219
Pale yai linaporutubishwa na mbegu
Kama una kifua pitia hii kozi hapaInawezekana, kuelewa kama ukiamua.
Kwanza una uthibitisho mungu yupo?Unataka kusemaje? Kuwa akibakwa sio kiumbe cha Mungu?
Ni jambo la kusikitisha
Kutoka kwa Abu 'Abdir-Rahman Abdullah ibn Mas'ud (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema: "Alituhadithia Mtume wa Mwenyezi Mungu,Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), naye ni mkweli mwenye kusadikiwa:"
"Hakika mmoja wenu hukusanywa umbo lake katika tumbo la mama yake kwa siku arobaini akiwa ni tone la manii (Nutfah), kisha huwa pande la damu (´Alaqah) kwa mfano wa siku hizo (40), kisha huwa bonge la nyama (Mudghah) kwa mfano wa siku hizo (40). Kisha Mwenyezi Mungu humtuma Malaika kwake, naye humpulizia roho ndani yake, na anaamrishwa kuandika mambo manne: Riziki yake, ajali yake (muda wa kufa), vitendo vyake, na kama atakuwa mtu wa mashaka (motoni) au wa furaha (peponi)..." [Bukhar na Muslim]
Achana na hadithi, jikite kwenye Sayansi.Kutoka kwa Abu 'Abdir-Rahman Abdullah ibn Mas'ud (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema: "Alituhadithia Mtume wa Mwenyezi Mungu,Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), naye ni mkweli mwenye kusadikiwa:"
Hadithi hii inabainisha safari ya ukuaji wa mtoto tumboni katika vipindi vitatu vikuu vya siku 40 kila kimoja kabla ya kupewa roho:
- Siku 1 hadi 40:
- Mtoto anakuwa katika hali ya tone la manii lililorutubishwa (Nutfah).
- Siku 41 hadi 80: Anabadilika na kuwa pande la damu linaloning'inia (´Alaqah).
- Siku 81 hadi 120: Anakuwa bonge la nyama lililoanza kushonwa umbo (Mudghah).
Malaika anapofika kuweka roho, anaandika mambo yafuatayo ambayo yatatawala maisha yote ya kiumbe hicho:
- Siku ya 120 (Mwezi wa 4): Malaika anakuja kumpulizia roho na kuandika majaaliwa yake yote.
- Mambo Manne Yanayoandikwa Wakati wa Kupewa Roho
- Riziki: Kiasi cha mali, chakula, na neema atakazopata duniani.
- Umri (Ajali): Siku na sekunde kamili atakayokufa.
- Amali: Matendo yote atakayoyafanya (mema na mabaya).
- Mwisho Wake: Hatima yake kama atafuzu kuingia Peponi au atakuwa wa Motoni.
kaulize Wanasayansi kuhusu elimu ya Embriyology halafu rudi kuyasoma hayo maneno ya Mtume Muhammad (pbuh) halafu jiulize alijuaje hizo details katika karne ya 7 wakati hakukuwa na vipimo vyovyote vya kisayansi kuhusiana na hizo details.Achana na hadithi, jikite kwenye Sayansi.
We confuse mechanics of energy to biological comodifications. Yaani uhai sio kupumua tuu. Uhai ni wewe.. Na wewe sio mwili wala akiliAtom... zina uhai? mkuu sijakupata!
Wewe ni energy.Mimi ni nani?
Basically anakuwepo katika mfumo wa energy.. Na hata kuwa na boundaries wala form. Inshort anakuwa spiritTunapoaga marehemu, yeye anakuwa wapi?
Ndio Mungu yupoKwanza una uthibitisho mungu yupo?
Halafu kama kubaka ni kitendo kiovu kwa nini anaruhusu ubakaji na mimba zinazotokana na ubakaji kutungwa??