Uhai wa binadamu unaanza wakati gani?

Uhai wa binadamu unaanza wakati gani?

Ndio Mungu yupo
kubaka ni kitendo kiovu sana

Mwili wako, akili yako, utashi wako unamilikiwa na nani? Ndio cha haya mambo yote unayaona yanaendelea duniani

Ni rahisi sana kupeleka machukizo yetu kwa Mungu. Hata mimi nishafanya hivyo mara kibao tu

Ukweli hautabadilika. You belong to him una haki ya kulalamika but uhalisia wetu dunia hii unamilikiwa na mwovu
Ndio maana kila tunayoyawaza yana ubaya


Kisha tukichuma yanayopandwa na ubaya tunaenda kumlaumu Yeye

We are not worthy to question.
Mungu ni "him" ?
 
Mungu ni "him" ?
HIM or Him or him. Bible kwenye his him inaweka herufi ndogo kubwa haijalishi. Unafikiria sana

Jina lake ni too Sacred for me to tell you but I know it. It translate to "I WAS, I AM, I WILL BE"

HAya majina unayoyaona sijui Adonai..translate to Bwana, sio majina kama jina lake. Ni lugha tu

Nimeona kwenye mada za kiroho au kuhusu Mungu unakuwepo unapost. Ila sijawahi kukuliza what do you believe?
 
Uhai wa mwanaume unaanza pale anapopata hela.!
Mwanaume kama hana ela bado anakuwa kama hajazaliwa..
 
HIM or Him or him. Bible kwenye his him inaweka herufi ndogo kubwa haijalishi. Unafikiria sana

Jina lake ni too Sacred for me to tell you but I know it. It translate to "I WAS, I AM, I WILL BE"

HAya majina unayoyaona sijui Adonai..translate to Bwana, sio majina kama jina lake. Ni lugha tu

Nimeona kwenye mada za kiroho au kuhusu Mungu unakuwepo unapost. Ila sijawahi kukuliza what do you believe?
Kwa nini sio SHE ?
 
Kwa nini sio SHE ?
Very good question
Bacause of Nature. Mungu hana Gender, kama unavyoona gender katika mwili. Hata roho zetu hazina Gender.

In nature kuna exist two opposite forces Male and Female wachina wanaita Yin and Yang

Basi sis binadamu wote unaotuona tuna nature Female. Achana na jinsia sizungumzii jinsia

Ila Mungu nature yake ni tofauti kidogo yeye ni Positive, chanya ndio maana wayahudi walimuita Baba. "Our Father in Heaven" sio kwa sababu ni mwanaume unavyofikiria ni kwa sababu His nature is Positive

Achana na mwili, nafsi zetu zinafanana kasoro sura tu. Ukivua wanawake na wanaume nafsi zote zinafanana kuanzia shingoni kuja chini kasoro sura. .and our nature is all female

You have two more questions to ask me Mr Yoda. .Ask
 
SIfa
1. Anaweza kukua. Fetus grows in the womb
2. Fetus eat off her mothers
3. Mtoto tumboni anacheza
4. Mtoto tumboni anakunya. Akizaliwa anatoka na mavi yake

Labda utoe mfano mwingine ila hivi vyote mtoto anaanza kuvifanya tumboni
Ndio maana tayari anakuwa kiumbe hai kwa sababu hivyo vyote anafanya. Halafu taka mwili si kinyesi mkuu, ni mkojo,jasho,urea and the like..Kinyesi hakihesabiki kama taka mwili.
 
Asante... mkuu Mkono Mmoja
swali... huyo mtoto akitolewa kama kiumbe ambacho may be kina siku 80 hatima yake inakuaje?
bado kinakuwa sio kiumbe kamili...kiumbe kinaanza kuhesabiwa kikitimiza siku 120 yaani miezi 4...hapa ndio huwa kina roho..nje ya hapo linakuwa ni pande la damu/nyama tu
 
Back
Top Bottom