Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,715
- 105,322
Mungu ni "him" ?Ndio Mungu yupo
kubaka ni kitendo kiovu sana
Mwili wako, akili yako, utashi wako unamilikiwa na nani? Ndio cha haya mambo yote unayaona yanaendelea duniani
Ni rahisi sana kupeleka machukizo yetu kwa Mungu. Hata mimi nishafanya hivyo mara kibao tu
Ukweli hautabadilika. You belong to him una haki ya kulalamika but uhalisia wetu dunia hii unamilikiwa na mwovu
Ndio maana kila tunayoyawaza yana ubaya
Kisha tukichuma yanayopandwa na ubaya tunaenda kumlaumu Yeye
We are not worthy to question.