Sawa sawa, lakini ni utafiti upi umeufanya mpaka kufikia kuthibitisha dai hilo? je utajuaje wachawi wamekuja ama hawakuja?Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisa
Mchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia !
Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya. .....
Nami ndio najua leo.Kumbe Ugwadu ni ndimu!!
ahahaha Kiswahili ni kipana sanaNami ndio najua leo.
Ukifanya haya anayokuelekeza mshana jr sio ajabu wewe ukawa mchawi. Hivi unaanzaje kulala na ndimu kitandani?Kuanzia leo nalala nazo mkuu
Akiona atakula?Chini ya mto asione
Nmekupata mkuu nawasubiri.Chini ya mto asione