Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,787
Habari wakuu
Yani hizi ndo ninazoota kipindi hiki cha Mr Solex ni za ajabu,mara naota nakimbizwa na nyoka anakonda,mara naota naanguka kwenye shimo kubwa lenye giza,mara naota Tanzania watu wote wamekufa na njaa.
Jamani muheshimiwa rais punguza makali nisije nikaota...
Yani hizi ndo ninazoota kipindi hiki cha Mr Solex ni za ajabu,mara naota nakimbizwa na nyoka anakonda,mara naota naanguka kwenye shimo kubwa lenye giza,mara naota Tanzania watu wote wamekufa na njaa.
Jamani muheshimiwa rais punguza makali nisije nikaota...