Chanjo tar 18/24 oct
hosp za serikali na privatebbure
pelekeni wattoto .na watuwazima pia
ugonjwa mbaya.sana uko.mtwara na watoto wanakufa mbaya ..wameamua kuchanja na watu wazima
Nadhani ulitaka kusema "ugonjwa wa rubella" (sio rubera);a.k.a german measles
mkuu hii habari inaonekana ni muhimu sana, tafadhali toa maelezo ya kina, ili na sisi tuwaelimishe wenzetu
unaambukizaje, dalili zake ni zipi, tuchukue tahadhari zipi, nk
nadhani ulitaka kusema "ugonjwa wa rubella" (sio rubera);a.k.a german measles
sendoro:
Chanjo ya surua rubella itakayotolewa ina kinga dhidi ya ugnjwa wa surua na rubella. Surua na rubella husababishwa virus na huenezwa kwa njia ya hewa. Dalili zinafanana japo za rubella ni "mild", ambzo kati ya siku 8-21 za maambukizo mtoto atakuwa na dalii za joto kupanda, vipele vidogovidogo kuanzia usoni hadi miguui, na machokuwa mekundu.
Madhara ya rubella kwa mama mjamzito asiye na kinga ni kuzaa mtoto njiti, kuzaa mtoto mwenye tundu katika moyo, au kuzaa mtoto mwenye mtindio wa ubongo.
Chanjo ya rubella haijawhi kutolewa nchini na kampeni hii ndio itakuwa mara ya kwanza.
Chanjo ni kuanzia tarehe 18 hadi 24 mwezi wa kumi.
Hospitali za serikali na private bure
pelekeni watoto na watu wazima pia
ugonjwa mbaya sana uko Mtwara na watoto wanakufa mbaya .. Wameamua kuchanja na watu wazima!
Obama tusamehe,tumekukosea nini? Hiyo NWO inalenga kutuangamiza sisi wa afrika? Mie sichomi hiyo sindano na wala sihitajia,mababu zetu mbona hawakuumwa hilo gonjwa? Chris Brown shukrani kwa kuwaumbua wazungu.
Mkuu nidadavulie kidogo kuhusu Brown,
By The Way Sitachoma hizo sindano, kama magonjwa ya kutengeneza yameshatosha....
Mkuu nidadavulie kidogo kuhusu Brown,
By The Way Sitachoma hizo sindano, kama magonjwa ya kutengeneza yameshatosha....