Ugonjwa wa pumbu erosion

Ugonjwa wa pumbu erosion

Haya maradhi yalitutesa mno kipindi tunasoma secondary
Hadi Leo sijui ulitokana na Nini?

Huo muwasho wake hata kaswende na U T I Sugu hazifiku hata nusu 😃
Dah miss you sana Midlands high school nitarudi kiwasalimia waseminari .

Nilianza kujifunza ukakamavu pale pale shuleni kupitia kutoa hotuba huku pumbu zinawasha nazikuna kijanja maana nipo chapel mbele ya maprofesa na uaskofu wao inabidi nisimame imara kuonesha heshima na huku pumbu zinawasha nazikuna utafikiri napiga kwata za jeshi la polisi 😀😀
 
Dah miss you sana Midlands high school nitarudi kiwasalimia waseminari .

Nilianza kujifunza ukakamavu pale pale shuleni kupitia kutoa hotuba huku pumbu zinawasha nazikuna kijanja maana nipo chapel mbele ya maprofesa na uaskofu wao inabidi nisimame imara kuonesha heshima na huku pumbu zinawasha nazikuna utafikiri napiga kwata za jeshi la polisi 😀😀
Unakwangua unga kwenye kende😅
 
Unakwangua unga kwenye kende😅
Ilimpata mzee mmoja akiwa chaplain wetu ni celebrate kwasasa sasa wakati anahubiri saa ngapi asiwe anarusha tumiguu twake huku na kule akijifanya ni mzuka wa mahubiri ,sisi wahuni hoi huko kwenye viti mpaka akagundua akadai heshima kitu cha bure wanangu ,subirini nimalize kuhubiri ndiyo muendelee kucheka ,😀😀
 
Ilimpata mzee mmoja akiwa chaplain wetu ni celebrate kwasasa sasa wakati anahubiri saa ngapi asiwe anarusha tumiguu twake huku na kule akijifanya ni mzuka wa mahubiri ,sisi wahuni hoi huko kwenye viti mpaka akagundua akadai heshima kitu cha bure wanangu ,subirini nimalize kuhubiri ndiyo muendelee kucheka ,😀😀
😅😅Raha ya pumbu erosion ukikwangua ule ukoko laZima unuse harufu
 
Basi bwana p.e ilinikamata nikapewa dawa flani ya maji ya kijani imeandikwa dawa ya mba. Nikaweka kunako p..mb. Wee p..mb nilihisi zinang'oka.. nilivaa shuka na kuweka miguu juu nipgwe na upepo... Kumbuka sana lugoba sekondari
 
Back
Top Bottom