Hahaha kwasababu mzungu kaleta technologia ya ugunduzi wa magonjwa meng i basi hatuna budi kumuamini, tatizo la tiba mbadala ni kubahatisha katika utoaji tiba wake. Na dawa zao hazina dermacation ya magonjwa, yani ipi inatibu nini. Utakuta chupa moja ya dawa inatibu malaria, busha, masikio, mgongo.Wataalamu wa afya wa kisasa wanadai kifafa(epilepsy) hakina tiba.
Huu ni uongo mkubwa,kuna watu waliwahi kuugua lakini baada ya kupata tiba mbadala mpaka leo wana zaidi ya miaka 30 hawajawahi kusiki hata dalili.
Mzungu kawapotosha.
Wangekuwa wanafanya utambuzi wa magonjwa na kutibu na proof zipo ningewakubali. Lakini zaidi ni hear say.