nina mtoto wangu ambaye anasumbuliwa na kifafa kila apatapo hom kali au sometime homa ya kawaida tu.
ilianza akiwa na miaka miwili. alivyofika miaka minne hali ni kama ilizidi kidogo. nilifanikiwa kuonana na daktari bingwa wa watoto ambaye alinishauri nianze kumpa dawa ya SODIUM VALPROATE mg 100 daily kwa muda wa mwaka mmoja. na endapo hatapata hali hiyo kwa muda huo hali itakuwa imetibitika.
nilifuata ushauri wake na mwaka jana mwezi wa kwanza (january 2022) alianza kutumia dawa mpaka january 2023. kwa muda wote huo ni kweli hakupata hiyo hali kabisa. shida imeanza tena mwezi huu wa pili ameanza tena kupata kifafa. kama mzazi naumia sana😭😭😭. naombeni msaada kwa mwenye ushauri wa namna ya kunisadia.
MUNGU awabariki wote watakaoguswa na tatizo langu
ilianza akiwa na miaka miwili. alivyofika miaka minne hali ni kama ilizidi kidogo. nilifanikiwa kuonana na daktari bingwa wa watoto ambaye alinishauri nianze kumpa dawa ya SODIUM VALPROATE mg 100 daily kwa muda wa mwaka mmoja. na endapo hatapata hali hiyo kwa muda huo hali itakuwa imetibitika.
nilifuata ushauri wake na mwaka jana mwezi wa kwanza (january 2022) alianza kutumia dawa mpaka january 2023. kwa muda wote huo ni kweli hakupata hiyo hali kabisa. shida imeanza tena mwezi huu wa pili ameanza tena kupata kifafa. kama mzazi naumia sana😭😭😭. naombeni msaada kwa mwenye ushauri wa namna ya kunisadia.
MUNGU awabariki wote watakaoguswa na tatizo langu