Ugomvi na ushoga usiwe kigezo cha watoto kukosa mchele wenye virutubisho, tutaonekana majuha

Unaonge vitu vya kufikirika Sana nyie waswahili
334934260_157849730463871_4645662194721568443_n.jpg
 
Kuna tatizo gani ukisaidiwa na wewe ukamsaidia aliyekusaidia baadaye, yani wewe unataka kula tu vya watu halafu hutaki vya kwako kuliwa! Hata walevi Bar wanapozungusha round wanategemea na mwenzao azungushe round. Mahusiano yote ya watu wasio ndugu au mke na mume yame base kwenye reciprocity, hiyo ilipaswa kuwa no brainer kwako na wenzako wenye mawazo mgando.
Marekani haitoagi kitu bure. Nilishawahi kupata dili ya ku-supply vitu kwenye taasisi iliyokuwa inafadhiliwa na USAID nikashangaa moja ya masharti hivyo vitu viwe MADE IN USA na walivyo washenzi wakaelekeza hadi makampuni ya kununulia huko America. Yaani kwa hesabu za haraka ni kuwa hela yote waliyolipa ilikuwa imerudi kwa watu wao kijanja. Huo msaada wapeleke kwenye nchi zenye shida kama DRC.
 
Nazn tuna mkemia wa Taifa afanyie kazi


Mpenda dezo lazima alipe gharama ya dezo
 
Wachague kaya na watoto wa viongozi wa CCM wawagawie... Tz Haina shida ya chakula... Wapelekee Kenya huko.
 
Nani amekuambia huo mchele haujapimwa??
Shida yenu ni mchele haujapimwa na kufuata taratibu za kuingiza chakula nchini au shida yenu ni mmepewa mchele wa bure na Wamarekani??
Hata kupewa msaada tu wachakula bila kujalisha mashaka ya kilichomo ndani ni ujuha pia. Kwa nchi ambayo inarasilimali ardhi yenye rutuba, na raslimali watu wa kutosha, Cha msingi selikali iongoze jitihada kuwezesha kilimo Cha umwagiliaji Ili kilimo kiwe Cha uhakika na tutazalusha mpaka na ziada.

Kuhusu virutubisho ilitakiwa wapewe nchi kama Kongo sudani na nchi zingine walioko kwenye vita,kwasababu hawapati mda wa kuzalisha.

Kingine tuifundishe jamii yetu kufanya kazi Kwa bidii na kujituma kufa kupona kuhakikisha tunazalisha mpaka na ziada.

Kwa wajuzi wa mambo ,he mpango wa Bashe ,waziri wa kilimo na vijana waliopewa mashamba ya selikali ,dhamira,maono Yao ni yapi? Na wako hatua Gani?
 
Nazn tuna mkemia wa Taifa afanyie kazi


Mpenda dezo lazima alipe gharama ya dezo
Umejuaje huo mchele haujapimwa kama mafuta, sukari, ngano, pringles, soda, juice na apple mnavyoagiza kutoka nje??
 
Pendeleeni kupewa misaada itawaponza sana iko siku wanaotoa misaada nao watataka na nyinyi muwalipe fadhila sijuwi mutawalipa kitu gani? Ukizoea kusaidiwa ipo siku itabidi ulipe fadhila je utalipa kitu gani? jiulize halafu upate jibu.
Mimi hata siku moja sipendizwi na misaada. Katu! Kuanzia mimi binafsi kwenye maisha yangu, mpaka kwa nchi yangu. Wanaopenda misaada ni CCM na ubovu wao katika kuongoza ndiyo unafanya tuhitaji misaada. Hivi nchi yetu ilivyo na ardhi kubwa yenye rutuba na hali ya hewa nzuri pamoja na mito na maziwa, ni ya kutegemea misaada? Point yangu ni kuwa kama wewe ni maskini njia pekee ya kukataa misaada ni kufanya kazi kwa bidii ili ujitosheleze. Huwezi kuwa fukara halafu ukaamuru wanaokusaidia wakusaidiaje.
 
Naunga mkono hoja! Binafsi sioni tatizo la kupewa msaada huo! Kama hauna masharti yo yote sioni shida.
Kinachotakiwa TBS au shirika linalohusika na vyakula lichukue sampuli lipime ili kujidhirisha kuwa hauna matatizo ya kiafya kwa walaji.
 
Maoni mengi ya wabongo wengi mtandaoni kuhusu msaada wa mchele wenye virutubisho kutoka Marekani ni hofu yao isiyo na mashiko "obsession" au ugomvi na ushoga.

Wengi wanaupinga msaada huo eti kwa sababu unaweza kuwa na viambata vya kuwafanya wanafunzi watakaoula kugeuka kwa mashoga! Yani katika sababu zote hii ndio imetawala na imekuwa msingi wa upingaji wao wa mchele huo!

Jamii inayoweza kuwaza mambo kwa muono huo wa ngono tu katika jambo ambalo halihusiani kabisa hasa katika ulimwengu wa leo ni jamii ambayo imeharibika sana kiakili na inahitaji kupewa msaada wa kila kitu, sio wa mchele tu bali hata wa afya ya akili.

Ni ujuha watoto wasipiwe mchele wa virutubisho kwa "obsession" na conspiracy ushoga tu. Kama hao mabeberu wanaweza kufanya hivyo katika mchele wanashindwa vipi kufanya katika mafuta ya kula, ngano, tambi, apples, vipodozi, chanjo na dawa kutoka nchi zao au makampuni yao?


Pia soma Watoto 300+ Dodoma kulishwa wali wenye virutubisho kutoka USAID
Ni nani aliwaambia wamarekani kuwa watoto wetu wana upungufu wa virutubisho hivyo tuomba msaada wa mchele wenye virutubisho? Mwisho wa siku watoto waanze kunona mikundu huku tukipiga vigelegele kuwa watoto wamenona na wana afya kumbe mikundu yao inafukuta inataka chorongo. Kama unataka peleka guta pale ukachukue kilo zako 400 wapelekee nyumbani kwako!
 
Pendeleeni kupewa misaada itawaponza sana iko siku wanaotoa misaada nao watataka na nyinyi muwalipe fadhila sijuwi mutawalipa kitu gani? Ukizoea kusaidiwa ipo siku itabidi ulipe fadhila je utalipa kitu gani? jiulize halafu upate jibu.
Ukiwa kama taifa huwezi kukosa kitu cha kutoa kwa taifa lingine. Uhusiano wetu na Marekani katika historia kwa muda wote umekuwa wa kulipana fadhili, kuna watu wanaouza dawa za kulevya wanatafutwa na Marekani tumewahi kusaidia kukmatwa kwao, kuna taarifa za intelejensia zenye maslahi kwao Marekani wanapata kutoka vyombo rasmi vya uchunguzi nchini mwetu, sisi ni soko au wateja wakubwa wa bidhaa za Marekani kuanzia computer, softwares, vinywaji, sanaa, silaha, nguo n.k
 
Wamarekani hawahitaji kuambiwa kujua hilo, unafikiri ubalozi wa Marekani mkubwa hivyo na unaolindwa kwa zana za kisasa kwamba Balozi na wafanyakazi wake wako hapo kutoa visa na kuuza sura tu?? Kuna taarifa Wamarekani wanazo hata viongozi wako wengine wakubwa tu hawanazo
Ni nani aliwaambia wamarekani kuwa watoto wetu wana upungufu wa virutubisho hivyo tuomba msaada wa mchele wenye virutubisho? Mwisho wa siku watoto waanze kunona mikundu huku tukipiga vigelegele kuwa watoto wamenona na wana afya kumbe mikundu yao inafukuta inataka chorongo. Kama unataka peleka guta pale ukachukue kilo zako 400 wapelekee nyumbani kwako!
 
Ipo hivi...Target hapa ni madini na sio madin tuu....ni madin yanayo hitajika sana sana Duniani...na haya madini yapo mengi sana Dodoma...Nyerere alipokuwa anakomalia makao makuu yawe Dodoma alikuwa anajua....awamu nying zilipita bila mafanikio ya kuwezesha hilo mpaka pale alipo ingia Mh Magufuli....ikulu ikashushwa pale pale pamoja na makaz ya watumishi wa serikali...huku ardhin pakijaa uraniam....hii ni kukomoa kwamba wakitaka kuchimba basi waanze kubomoa ikulu na makaz ya serikali....kitu ambacho ni mtihan kwao....

Hivi umeshajiuliza kwa nn mkakati wa huu mchele umepelekwa dodoma na si mikoa mingine? Hivi ni kweli mchele utoke marekan...mpaka bongo...utoke dar ufike dodoma bila hata serikali kutojua?? Wazir wa kilimo ametolea ufafanuz ni kwamba alikua hana taarifa..???
Mambo ni mengi....kikubwa tuzidi kumuomba Mungu...hii nchi ni ngumu sana sana...ni miaka mitatu sasa tokea atutoke...Mwenyez Mungu amlaze mahala pema peponi..
 
Virutubisho vinaleta na kusababisha saratani...
Hiyo sio zawadi, tatizo humu wengi hatujui operation za grants na loans, mkuu hiyo hela inalipwa na nchi baadae, Tunachezewa vya kutosha
Awali ya yote, tena unakuta hao wakulima wanaodaiwa kutoa hiyo misaada, aidha wamesamehewa mamilioni ya makodi ama wamelipwa ruzuku za mamilioni za kutosha.

Nina wasiwasi pia hiko chakula ni kile kilichokosa masoko kwao wakati wa kipindi cha covid. Kilichopelekea chakula hicho kuwa unfit, kulingana na stamdard zao, kwa maana nyingine hakiuziki Marekani, wamekisafisha(bleach) na kuongeza hivyo virutubisho

Kuna watu humu ukiwasoma, unaelewa ni watu wa aina gani likija suala la kulazimisha mambo. Lugha zao zinaeleweka
Watanzania tuwe makini. Tusikubali tu

Niseme tu hili, hili sio suala la Ushoga au Lah.


Ni suala la kujiheshimu kama nchi.

At some point we must say 'Thank you, but NO thank you.

Serkali ifungashe huo mchele na uupeleke kwa Wasudani, wanakufa njaa. Kama wanavyosema makada kule USA-For real For real.
 
Mchele nimezalisha hapa hakuna soko, kilo sh 800 je kuna haja gani kuletewa mchele na wafanya biashara wa Marekani.

Hivi vimiradi uchwara ndio JPM alikuwa anavilima nyundo
Naomba kg 100
 
Back
Top Bottom