Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
Kama rasimu ilivyopendekeza kutakuwa na wagombea binafsi kwa nafasi zote,
swali: nini kitanyika endapo watajitokeza wagombea 70 kwa nafasi ya urais na 70 kwa ubunge? je wataruhusiwa wote kugombea? vipi gharama za kuandaa mabox ya kura na confusion kwa wananchi kuwatofautisha wagombea?
Kuna haja kuwe na limit ya wagombea binafsi kwa kila nafasi yusije kupata wagombea 200 kwa nafasi moja
swali: nini kitanyika endapo watajitokeza wagombea 70 kwa nafasi ya urais na 70 kwa ubunge? je wataruhusiwa wote kugombea? vipi gharama za kuandaa mabox ya kura na confusion kwa wananchi kuwatofautisha wagombea?
Kuna haja kuwe na limit ya wagombea binafsi kwa kila nafasi yusije kupata wagombea 200 kwa nafasi moja