Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
<br />Watu wa Tume ya uchaguzi wanasemaje kuhusu hili? Tendwa aulizwe!
<br />
Tendwa kitabia ni sharobaro sana, maneno ya Kiswahili mawili, halafu English. Umesahau kuwa alimtetea Vasco daGama kwenye kuzidisha muda?