Kwa nchi zote za Africa, Uganda ndio wapo vizuri sana katika kutibu corona. Je, wanatumia dawa gani? Kwanini tusicopy na kupaste kwetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndicho wanachofanya, ninarafiki yangu ni Mganda ndo kaniambia hivyo!Labda wanajifukiza.
Mbinu za medani huwa hazitolewi hadharani wakati wa mapambano....wewe endelea kuomba kila mtu na mbinu yake!!Kwa nchi zote za Africa, Uganda ndio wapo vizuri sana katika kutibu corona. Je, wanatumia dawa gani? Kwanini tusicopy na kupaste kwetu?View attachment 1427650
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini 45!!? Sisi wamepona 100 , jana Rais kasema!Kwa nchi zote za Africa, Uganda ndio wapo vizuri sana katika kutibu corona. Je, wanatumia dawa gani? Kwanini tusicopy na kupaste kwetu?View attachment 1427650
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskika Tanga ukishafukizwa tu mshahara na perdiem zote unazikabidhi..!! Unakuwa mateka kwa siku 14....Ni mwendo wa kujifukiza tu virusi kwisha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio kitu Rais alichokua anasema jana. Hata hapa Tanzania kuna watu wanapona lakini takwimu hizo hazitolewi bali zinatolewa zile za maambukizi mapya na za vifo na kupelekea kutisha watuKwa nchi zote za Africa, Uganda ndio wapo vizuri sana katika kutibu corona. Je, wanatumia dawa gani? Kwanini tusicopy na kupaste kwetu?View attachment 1427650
Sent using Jamii Forums mobile app
fala wewe!
Mh, mbona HIV wanapukutika/walipukutika mpaka leo?
Umesoma virology?You cant be a master of everything in this world. Wao wameamua kutumia dawa za kienyeji zile walizozoea. Nyinyi mnaosema let science lead, indeed, it leads you nowhere.
Science ni kitu endelevu. Hakina majawabu ya moja kwa moja kwenye kila kitu. Ndio maana US na Ulaya wanachabangwa kama hawana akili nzuri pamoja na science yao
Unajitoa subiri na ww uputike na korona endelea kujifukizia majani.Mh, mbona HIV wanapukutika/walipukutika mpaka leo?
Mbona wanaopona wanatangazwa ndugu!!Ndio kitu Rais alichokua anasema jana. Hata hapa Tanzania kuna watu wanapona lakini takwimu hizo hazitolewi bali zinatolewa zile za maambukizi mapya na za vifo na kupelekea kutisha watu
Mimi najiuliza kina Mwana FA, Isabela na wengine kibao mbona hatuambiwi kuwa walipona? Naamini Rais anataarifa za kweli na za uhakika zaidi kutokana na kua na vyanzo tofauti vinavyompatia taarifa zingine zikiwa na za ki intelijensia. Vyanzo vyake vinasema watu zaidi ya 100 walishapona ugonjwa huo
Hakuna dawa ya kutibu virusi vya Covid 19 popote ulimwenguni. Mtu yeyote atakayeambukizwa ama atapata dalili mfano mafua, homa na shida kupumua, wanachotibu mahospitalini ni hizo dalili, homa na mafua inashushwa kwa panadol au aspirin, kupumua ndiyo wanaweka mashine kusaidia kupona ni vita ya mwili wako na hao virusi kwa msaada wa hivyo wanavyokupa hospitali.Kwa nchi zote za Africa, Uganda ndio wapo vizuri sana katika kutibu corona. Je, wanatumia dawa gani? Kwanini tusicopy na kupaste kwetu?View attachment 1427650
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliopona wanatangazwa kwa idadi sahihi? Kwanini kuwe na taarifa zinazotofautiana? Kwa namna yeyote naamini taarifa ya Mkuu wa Nchi ndiyo sahihiMbona wanaopona wanatangazwa ndugu!!
Ile idadi iliyotolewa mara ya mwisho kwa waliopona ndio sahihi
Hawawezi kujitungia ili waonekane wamfurahishe meco
Kama anaona wanafanya kazi ya kuwatisha raia, awafute kazi ateue tim mpya