B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Muungano usiyo na jina maalumu wa Rwanda, Uganda na kenya unakopa mkopo kwa kutumia jina la EAC, mkopo uliokopwa ni ule wa kupanua Bandari ya Mombasa na Ujenzi wa Reli itakayounganisha Uganda na Rwanda, cha ajabu hawa watu wanatumia jina la East African Community katika kukopa pasipo Tanzania kushirikishwa!!! je Urudishaji wa mkopo huo utahusisha na Tanzania au pesa ambazo Tanzania nayo huwa Inachangia jumuia hii? je wakishindwa kuulipa Tanzania nayo haitabanwa?
source: Nipashe la leo
source: Nipashe la leo