Itakuwa alimcharza baada ya video kuisha!Ni wapi mtu kacharazwa makofi mbona nimeangalia nimeona huyo mdada anafoka tu mpaka video inaisha
Itakuwa alimcharza baada ya video kuisha!Ni wapi mtu kacharazwa makofi mbona nimeangalia nimeona huyo mdada anafoka tu mpaka video inaisha
Mwanzisha thread ni mjinga fulani mwenye ID nyingi. Kazi yake ni kuposha na kuanzisha thread hovyo zisizo na idadi. Hilo tukio HALIKUTOKEA Uganda. Kiingereza ni cha South Africa. Muwe mnampuuza!Museven yatamkuta ya kina Gaddafi na Mubarak.
Kwanza tukio siyo la Uganda!Daaah wee mtoa mada unadanganya uma...