Uganda kujenga SGR kuelekea Kenya kwa kuwatumia wakandarasi wa Yapi Merkezi. Je, SGR ya Tanzania itaweza ushindani wa Kenya na Uganda?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,022
..Kwanini Tanzania imeshindwa kuwashawishi Uganda kujenga SGR kuelekea kwetu, na sio Kenya?

=====

Uganda yafuta mkataba wa China kutengeneza reli ya SGR, yaichagua kampuni inayojenga reli ya Tanzania

Serikali ya Uganda imechukua uamuzi huo wa kusitisha mkataba wa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) kujenga awamu ya kwanza ya SGR ya Kilometa 273 kutoka Malaba hadi Kampala.

Ujenzi huo uliotarajiwa kutumia Dola Bilioni 2.2 (Tsh. Trilioni 5.1) umekwama kutokana na mvutano wa kimaslahi ikionekana Kampuni hiyo ya China imeshindwa kuendelea kutoa fedha za mradi.

Hivyo, Serikali imeingia makubaliano ya awali na Kampuni ya Uturuki ambayo pia ndiyo inayojenga SGR ya Tanzania ikidaiwa kuwa gharama zao zinaweza kuwa ni Dola Bilioni 1.5 - 1.72 (Tsh. Trilioni 3.5-4)


============

Uganda cancels $2.2bn SGR contract with Chinese firm, signs with Turkish company​

Thursday January 12 2023​

A cargo train at the Naivasha Inland Container Depot in Kenya.

A cargo train at the Naivasha Inland Container Depot in Kenya. FILE PHOTO | NMG

After eight years of non-execution, the Uganda government has terminated the contract of China Harbour Engineering Company (CHEC) to build the country’s first phase of standard gauge railway (SGR), a 273km line from Malaba to Kampala, The EastAfrican has learnt.

The line, starting from the Malaba border post between Uganda and Kenya, was expected to cost $2.2 billion, but the Chinese financiers did not fund the project after casting doubt on Kenya’s SGR reaching the border to link with Uganda’s and making the project viable.
The SGR Project Coordinator Eng Perez Wamburu says Kampala has now signed a memorandum of understanding (MoU) with Turkish firm Yapi Merkezi. The company is expected to submit a response to the government’s request for a construction proposal within the next few weeks, paving the way for procurement.

Kampala says the financing model for the project will also change, with Yapi Merkezi, which is building Tanzania’s SGR, expected to tap into its network to bring Export Credit Agencies (ECAs) on board that will finance and breathe life into the moribund project.

The EastAfrican has seen proposals between Uganda government officials and potential financiers, who include the UK Export Fund (UKEF), which last September was mooted to be interested in bankrolling the SGR to the tune of £1.5 billion or $1.72 billion.

Mr Wamburu revealed that Uganda’s Attorney General Kiryowa Kiwanuka was prompted to review the contract with CHEC after it became apparent that China Exim Bank – Kampala’s main infrastructure projects financier of the last decade – had grown cold feet on bankrolling the SGR.

“We read between the lines when China’s Ambassador to Uganda said that after the Covid-19 pandemic, China has become more cautious about financing big infrastructure projects in Africa. We all know that Covid didn’t leave economies of the world the same,” he said.

He explained that Uganda was forced to rethink its options and cast its net wider for other financiers after its request for financing to the China Exim Bank went unanswered for nearly one year – a departure from the usual practice when the Chinese responded to Kampala’s proposals within weeks.

“From the time of our last financing submission in February 2021, we have heard only silence. After submission, we waited for a few months, it was silence, and up to now, it’s still silent from Exim Bank,” he said.

Uganda’s Attorney General terminated CHEC’s engineering, procurement and construction contract on the grounds that it was tied to Kampala getting financing from Exim Bank, and when this failed, it made it easy for the parties to disengage from the agreement.

 
Wadada wenye tamaa wajiandae kufumuliwa..mikun.. na hao waturuki
Mpaka hiyo sgr iishe hospital zijiandae kushona ..........za wadada wenye tamaa
 
Wadada wenye tamaa wajiandae kufumuliwa..mikun.. na hao waturuki
Mpaka hiyo sgr iishe hospital zijiandae kushona ..........za wadada wenye tamaa
Kwani wanaoenda Nyuma au? Je unauzoefu nao hao Jamaa juu ya kufumuliwa nyuma
 
Back
Top Bottom