UngaUnga
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,724
- 1,461
Nisaidiwe namna nzuri kabisa ya kula ugali wa muhogo. Namaanisha vitoweleo vinavyoendana kabisa kwa chakula hiki.
Ugali Wa muhogo/udaga unanoga na nyama pori ya nyumbu,swala,twiga n.k.). Wanaiita A.K.A KIMORO! WATU WA KANDA YA ZIWA WANAJUA HILI!. Ukikosa zote, punda anafaa japo nyama yake INA mafuta na harufu, ukiila Leo unanuka hadi mwakani!