Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
- Thread starter
- #21
Sio wote tunazoMungu mkubwa sana mkuu.
Ugali wa jana rafiki yake Microwave.
Sio wote tunazoMungu mkubwa sana mkuu.
Ugali wa jana rafiki yake Microwave.
HapanaTuhamie kwenye pizza, hamburger, burgers etc sawa mkuu
Aisee nauri 😭😭Msasani Maflati, ulizia kwa kina Jemima
Una Mashaka na 'uelekeo wa Dishi'😂Ndugu Mwalimu Deogratius Kisandu alianza hivi hivi mwisho akajikuta anaandika Facebook " Nataka kuto**a mke wa raisi
Ndio mana una kakitambi kakispoti😋Mimi kiporo changu cha ugali huwa nakila napasha mboga tu.
Halafu naukata na kisu vipande pande kama keki.
Unaweza kutengeneza. Tatizo letu tunapenda sana watu watuletee kila kitu.Sio wote tunazo
Mls 300Ugali standard wa mtu mmoja Ni mls ngapi za maji?
Hicho ni cha bia na kitimoto😂😂😂😂😂😂Ndio mana una kakitambi kakispoti😋
Plus Kiporocha Ugali😋Hicho ni cha bia na kitimoto😂😂😂😂😂😂
Dah! Umenikumbusha mbali. Hii mbinu hawa kina "Junior" hawawezi kuijua.Haya ngoja nikufundishe hau-uli wenyewe, ila una urudia kuupika unakata vipande vidogo×2 halafu unaweka kwenye sufuria mpaka uchemke baada ya hapo unakoroga uji unachanganya unasubiri uchemke then unaweka unga unasonga tayari ugali
*Hakikisha unakata vipande vidogo sana ili yasitokee yale mabuja
Sawa, ila nisiposhiba ntakufuata PMMls 300
Kizazi Cha English medium na kuwochi katuniDah! Umenikumbusha mbali. Hii mbinu hawa kina "Junior" hawawezi kuijua.
Sijui ameshaisajili TCRA ile YouTube channel Yake Don Nalimison?Una Mashaka na 'uelekeo wa Dishi'😂
Hapana Mzeebaba yupo makini bwana.
Mkuu Bujibuji ngoja nikupe njia ninayotumia mie kutotupa ugali. Hakikisha ugali unaobaki unauhifadhi kwenye friji ukiwa bonge Moja (unaweza kuuviriga kwa shepu unayotaka).Ndugu wazalendo wenzangu, amani iwe kwetu sote na kwa familia zetu.
Mara nyingi sisi 🇹🇿 Watanzania hula ugali. Wasukuma hula ugali asubuhi, mchana, usiku na wakati mwingine usiku wa manane huamka na kuusonga Tena ule ulio mgumuuuu.
Ugali hupikwa kwa nafaka mbalimbali, mahindi, ulezi, uwele, mtama, muhogo na kule Mbeya Wanyakyusa hupika ugali wa ndizi.
Jamani mwenzenu naumia Sana nikitupa chakula, hasa nikitilia maananani Kuna mamilioni ya watu wanalala bila kula.
Naumia nikiwapa mifugo chakula kilichobaki, ndio maana chakula Cha mifugo siwezi kukila, iweje wao wale chakula changu?
Nawauliza wana JamiiForums nifanye Nini na ugali uliobaki jana usiku? Sitaki kuutupa walakuipa mifugo.
Naomba ujuzi na uzoefu wako
Nimeipenda hiii mbinuMkuu Bujibuji ngoja nikupe njia ninayotumia mie kutotupa ugali. Hakikisha ugali unaobaki unauhifadhi kwenye friji ukiwa bonge Moja (unaweza kuuviriga kwa shepu unayotaka).
Asubuhi chukua Ugali ukate slesi jinsi unavyopenda, hizo slesi zinyunyizie chumvi na pilipili manga Kwa mbali. Andaa kikaango na mafuta (samli nzuri zaidi). Weka kwenye moto vikaange had viwe na rangi ya njano brown. Ipua weka mezani kula na familia. Lete mrejesho.
Dah! Umenikumbusha mbali. Hii mbinu hawa kina "Junior" hawawezi kuijua.


tunaijua wenyewe kina chausiku
Nakutumia kwenye PM yakoAisee nauri 😭😭