Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Huyu rais ana akili sana unajua GMO itakuja kusumbua sana dunia yani tutakua tunategemea mbegu zao ili kulima sasa hapa food security itakua ndogo mno yani hawa jamaa wanakuja kututawala kwa style nyingine na tunapoelekea tunapoteza mbegu za asili zote na tutaanza kuwategemea wawo na wakigoma ina maana tutakua na njaa ya kutosha

Kama nchi inabidi tufungue bank ya mbegu za asili ili zisipotee halafu ubaya zaidi company inayotengeneza GMO ni moja tu kwa sasa(Bayer/Monsanto)

Rais wa russia kaona mbali sana.
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
"a mother stone is hollow" SONG OF LAWINO by Okot P'Bitek

kabla hatujapata majibu, tujiulize kwanini mawe ya kusagia karanga (zamani na sasa baadhi ya makabila wanatumia sio blenders) kwanini yamechimbika? na je umri wa kuishi babu zetu na sisi wa leo ukoje?
 
Aluminium haishikwi na sumaku ila tumboni kuna acid ikiungana na aluminum inatengeneza aluminate ambayo haina madhara kwa mwili wa mwanadamu
 
Huyu rais ana akili sana unajua GMO itakuja kusumbua sana dunia yani tutakua tunategemea mbegu zao ili kulima sasa hapa food security itakua ndogo mno yani hawa jamaa wanakuja kututawala kwa style nyingine na tunapoelekea tunapoteza mbegu za asili zote na tutaanza kuwategemea wawo na wakigoma ina maana tutakua na njaa ya kutosha

Kama nchi inabidi tufungue bank ya mbegu za asili ili zisipotee halafu ubaya zaidi company inayotengeneza GMO ni moja tu kwa sasa(Bayer/Monsanto)

Rais wa russia kaona mbali sana.

Mkuu uko sahihi kabisa..!

Ndiyo maana tumekuwa na mashoga wa kutosha
Ndiyo maana tumekuwa na wakoboaji wa kutosha
Ndiyo maana tumekuwa na vijana wazuri sana siku hizi pande zote mbili, kike na kiume..

Asili yetu ya Kiafrika inapotea kabisa.

Tangu lini ngozi nyeupe imekuwa na mapenzi na ngozi nyeusi..!

Tanganyika tuliipatia #KauliMbiu ya #KILIMOKWANZA.
 
Vitu visivyosagika tumboni kwa mfumo wa tumbo wa kusaga chakula kama vyuma vikivyosagika kuwa ungaunga,,kokoto ndogondogo,,chembechembe za mchaga,vijiti nk huungwa na kinyesi na kutoka ukienda kunya .Muwe mnapata muda wa kuchunguza kinyesi mkijisaidia Hivyo hakuna madhara makubwa ikishindikana hujihifadhi eneo eneo la Appendix ambako hutolewa kule kwa operation au njia za kienyeji Waumwa appendix sio wengi ukilinganisha na watumiaji.Mleta mada anajaribu kuongea ki layman kana Kwamba hizo particles za kusagika machine ya kusagia ,sufuria,visu vya kukatia ,vinu vya kutwangia ,mawe ya kusagia hupotelea ndani ya mwili.!!!!!
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Inategemea hayo machuma yako wapi. Je yako kwenye mfungo wa njia ambapo mahindi au unga unapita na yanaguswa au yako chini huko kwenye msukumo unaosababisha usagaji?
 
Write your reply...
kuna utafiti mmoja eti wanasema kunya kwa kujikakamua ni hatari!

naona mnataka tule mashudu
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?

We do what we can, the rest tunamwachia Mungu, wewe umeona la Mahindi, what about la ngano?
 
chuma inasagika na inaoza tu kama kawaida, nafuu ungesema plastic ningeshtuka, unaudiss ugali wakati ndo uliokukuza mpaka unapata nguvu za kuandika. Kula ugali acha uoga
 
Juzi nilimsikiliza mtangazaji akiongelea madhara ya soda na jana kaongelea Juice na hakutoa mchepuko kwa matumizi hayo kama ilivyo kawaida yake huwa anatoa HITS tu.
Kwa ufupi kila kitu nowdays tunaambiwa hakifai -Akili kichwani na Mungu unayemwamini akupe ijara njema.

Hawa watu hawajui kwamba kila kitu kilichoppo duniani kiasili kimetokana na dunia hii hii, hata ndege inyoundwa vifaa yote ni ardhini, binadamu nae kutokea huko huko ardhini sasa kipi cha tofauti, dawa zote zinazosindika vyakula zimetoka ardhini ni vile tu uwezo wa kuunganisha ambao mwanadamu amepewa.

Kwangu Mimi kila chakula ni cha asili sio lazima maparage na karanga mbichi.
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Kwenye maji kuna Madini Chuma mfano:
Sodium 4.33%
Calcium <2%
Chloride <8.7%
Iron 0.04%
Sulphate <1%
Fluoride 0.025%
Kwan haya yote anakwenda wap....? Je tuseme maji ya kunywa ni hatar kwa watu .....?
Watu wa zaman walikua wanasaga kwa Mawe Mahindi au Mihogo. Sema walikua wanaugua sana Appendix
 
Back
Top Bottom