Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

mwengeso

JF-Expert Member
Nov 27, 2014
9,218
6,650
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena

Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu

Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Toa ushauri sasa tule nini,mawe au miti?
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Hivi kwa sisi hapa namanyere tunaolima mahindi wenyewe hiyo sumu inatokea wapi,na je vipi kwa wanaoosha mahindi kabla ya kukoboa?Na utafiti wako hmefanyia wapi?
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Mkuu vipi wale miifugo wako wanakosa pumba za kuwalisha ama? Hebu kajipange upya mkuu uje na gia kubwa hii haiwezi kukuvusha kwenye huu mlima.
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kabla sijakuuliza maswali Mengi...
Kwanza Hongera kwa POST NZURI...
Pili..hiyo sumu unajua inakaa muda gani kwenye mahindi?
Tatu Kwani ni mahindi yooote yanawekewa hiyo Dawa,all sources?
Nne yaani hiyo dawa inakaa kwenye Kiini tuuuuu?
Tano Je ni madawa yote kwa mimea ni hatari? mbona binadamu tunatumia "Superflaxon"
Sita...ni Kiwango gani ndo kinadhuru?
Ahsante Mkuu
 
Ni tetesi kwa sababu hakuna takwimu zenye kuhusisha ulaji wa ugali wa dona na kansa.

Bado ukweli ni kwamba kiini cha mahindi hutunza "fungus" na ndiyo mama wa "aflatoxin".

Kwa maeneo ya joto na unyevunyevu (kama huku TZ) kansa ni ugonjwa mkubwa kwa kula aina hiyo ya vyakula vinavyozalisha "fungus" km dona, unga wa mhogo unaovundikwa hadi kuwa mweusi nk.

"Fungus" hafi kwa kuchemsha chakula.

Sikitumwa na Bakhtesa

Sifanyi biashara ya nafaka au yoyote biashara.

Nimedokezwa tetesi ili wataalamu humu jamvini watuthibitishie
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Siyo kila dona ni hatari...bali dona ambayo haijaandaliwa vizuri....ili kuepusha kupatikana kwa hyo sumu ni vyema mahindi yakatunzwa vizuri ili yasishambuliwe na fangasi waitwao Aspergilus flavus..fangasi wanaoshambulia mahindi ndiyo ambao huzalisha hyo sumu...iwapo nafaka zitakauka vizuri na kuhifadhiwa sehem isokuwa na unyevu unaweza saidia kupungusa mashambulizi....vilevile mahindi kabla ya kusagwa ni vyema yakachambuliwa na kuondolewa Yale ambayo ni mabovu au yaliyotoboka....

Kitu kinachosababisha dona isiwe salama siyo aflatoxin tu bali ata dawa (pesticides) zinazotumika kuhifadhia hayo mahindi...kwani wakulima na wafanyabiashara wengi hawafahamu matumizi sahihi ya dawa hivyo kusaga mahindi yakiwa bado yanadawa na hivyo kuzalisha unga wenye dawa au sumu..ili kuepuka hili ni vyema mahindi yakaoshwa vizuri kabla hayajasagwa na siyo kuyaloweka kwa maji kidogo kama wanavyofanyaga mashineni
 
Back
Top Bottom