FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Juzi juzi tumeona wa Afrika Kusini wakiwaua bila hatia Waafrika wenzao, ule nao ni ugaidi uliofanywa na Waarabu Waislam.Magaidi wote ni waislamu, lakni si waislamu wote ni magaidi.
Au siyo?
Juzi juzi tumeona wa Afrika Kusini wakiwaua bila hatia Waafrika wenzao, ule nao ni ugaidi uliofanywa na Waarabu Waislam.Magaidi wote ni waislamu, lakni si waislamu wote ni magaidi.
Kwa hiyo wewe ndiyo umeamua hata panapo maji uwende haja bila kuchamba?Mkuu kwa hiyo kama hamna maji huwezi kwenda haja?....
Mmm! Kaka sio waislam wote wana chembe za ugaidi, hili nakupinga, ila magaidi wote ni waislam kwa trend ya sasa, hivyo wapo baadhi ya waislam hawakubaliani na ugaidi.Huwez tengenisha uislamu na ugaid
Ugaid ni uisilam na uisilam ni ugaid
Kutenganisha uisilam na ugaid ni sawa na kutenganisha ugali na tonge ni kitu ambacho hakiwezekan
Na waisilam wote wana chembe chembe za ugaid
Fikiria upya vipi kuhusu somaliaMaana nyepesi ya ugaidi ni matumizi yasiyo halali ya mabavu na vitisho hasa dhidi ya raia kwa malengo ya kisiasa. Kihistoria ugaidi umekuwepo tangu zamani lakini ukiacha wakati wa vita, ugaidi huo ili kuwa ukihusisha jamii husika na wala haukulenga jamii nyingine.
Hata hivyo katika namna ya ajabu sana, ugaidi wa kuanzia Karne ya 20 hadi sasa na ambao ndio mkubwa ukiona na madhara makubwa, umekuwa ukihusisha jamii fulani dhidi ya jamii ambayo hazihusiani. Mfano: ISIS dhidi ya nchi za Ulaya. Kuna vikundi vingi via kigaidi duniani japokuwa vyenye nguvu ni vichache karibia vyote vikiwemo kwenye nchi za kiislamu.
Kumekuwepo tuhuma za kuhusisha uislamu na ugaidi. Hata hivyo, ukifuatilia sana jamii za wanadamu dunia nzima, utagundua nchi za kiislamu ziko nyingi duniani hasa katika Bara la Asia na kwamba zipo nyingi ambazo ni ngumu kuamini kuwa ni za kiislamu - Malaysia, Indonesia na Bangladeshi. Nchi hizo zikiwemo Indonesia ni ya kwanza kwa kuwa na waislamu wengi duniani na Bangladesh ni ya tatu badala ya Pakistani. Wananchi wa nchi hizo tajwa wanaishi kwenye maeneo yenye rutuba na mvua nyingi hivyo kusema kutengeneza jamii yenye upole na Amani.
Hata hivyo nchi za kiarabu ambazo zikiwemo kwenye majangwa zimekuwa na changamoto ya ugumu wa mazingira hivyo kujikuta wanazoea mazingira ya ubabe na uchokozi. Nchi hizo ziliingia kwenye uislamu siyo kwa kutaka Bali kwa jihad, hivyo miaka leo mfumo wao wa maisha umekuwa wa kibabe kutokana na mazingira magumu. Ndiyo maana waislamu wa nchini hawana msimamo mkali kama nchi zinazozunguka Jangwa la Sahara.
Unapofikiria suala Hilo fikiria jinsi wafugaji nao huwa ni sababu dhidi ya wakulima utaelewa kwani maeneo ya waarabu kilikuwa hakiwezekani zaidi ya ufugaji.
Kiukweli, wale viongozi wa ugaidi, wanajua fika kuwa hawapiganii dini ya Allah, bali maslahi Fulani, isipokuwa wale wapiganaji wao hawajui undani zaidi ya kuwa brainwashed na kumezeshwa aya mbili tatu za jihadi na kutumiwa kama killing machines, huku wakipewa ahadi lukuki ikiwemo fedha, na kuahidiwa pepo hewa, na kuahidiwa kutunziwa familia zao. Mfano ukimuuliza hata gaidi wa kibiti, lengo lako ni nini hawezi kukupa jibu lenye kuleta maana, kama unataka nchi ya kiislam , je ni wapi duniani walifanya hivyo wakaishi salama na kwa amani? Hata huko kwenye waislam watupu imeshindikana! Tatizo hapa ni kusaka mali na wizi tu, kuunda makundi haya na kuyatumia kama mitaji kwa wenye fedha na ujanja wa Akili tu.Fikiria upya vipi kuhusu somalia
Wale si waarabu
Vipi kuhusu Tanzania hao wa kibiti tazama na sikiliza maneno yao
Je kuna waarabu hapo?
Ugaidi ni uislamu na uislamu ni ugaidi. Nasubiri siku waislamu popote mkija kutoka hadharani muwapinge bokoharam, alshababu, isis, na wengIneo ndipo nitaanza kuwaelewa.Wewe hujaelewa vyema concept ya waarabu ipo katika ile ya Semitic na Hamitic. Jamii hizo zina ukaribu sana na zinapakana. Hivyo Nigeria maeneo yenye ugaidi wale ni Fulani na Hausa ambao ni Hamites kama walivyo wasomali, watuareg wa Niger, Chad, Mali na Mauritania. Hao siyo Jamii yetu ya kibantu na kinegro and they are more of Arabic than African.
Huwezi kutenganisha dini ya' mkombozi,' wetu,aliyetukomboa katika dhambi,na ugaidi,ndio maana hata yeye alisulubiwa ili tusamehewe dhambi zetu.Ilibidi,kifanyike kitendo cha kikatili,kwa kusalitiwa na Yuda.Huwez tengenisha uislamu na ugaid
Ugaid ni uisilam na uisilam ni ugaid
Kutenganisha uisilam na ugaid ni sawa na kutenganisha ugali na tonge ni kitu ambacho hakiwezekan
Na waisilam wote wana chembe chembe za ugaid
Hakuna ugaidi mkubwa kama ule alioufanyiwa mkombozi wetu,ili tusamehewe dhambi zetu,kwa kusalitiwa na Yuda.Bora yeye kakubali kufanyiwa ugaidi,lakini tumesamehewa dhambi zetu.Bwana asifiwe,Ameeni.UGAIDI unafungamana na WAARABU ambao ni WAISLAM
Na wala si waarabu walio WAKRISTO.
Labda useme kuwa wanasingizia tu kuwa ugaidi unasapotiwa katika Qur'an.
Magaidi wa Bwana.Bwana asifiwe,Ameeni.Wale waliopiga bomu vita ya pili ya dunia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki kwa kuua raia wasio na hatia nao tuwaiteje?
John Garang,na wafuasi wakeKwa hiyo Al shabab wa Somalia ni waarabu? au Boko Haram wa Nigeria pia ni waarabu? Ukiwa na ugonjwa suluhu si kuukana bali kujikubali kwamba una tatizo
Mkombozi wetu,alisulubiwa kwa kutumia dini,ndio tukasamehewa dhambi zetu.Na aliyemsaliti ni Yuda,katika wanafunzi wengi,huyu sio Gaidi na kitendo alichofanya cha kumsaliti sio cha kigaidi,kwa vile,kafanya tusamehewe dhambi,twakiita kitendo cha kisaliti tu.Tatizo wanachinja kwa kutumia dini. Wanatumia aya za dini hiyo. Wanaua kusema wanatetea dini hiyo. Ni aghalabu kusikia kiongozi wa dini hiyo akilaani magaidi hao.
1.Hata Askofu kibwetere alipowachoma maelfu kanisani,na kuuwa wengine,kile sio kitendo cha kigaidi,kwa vile amesafishwa na damu ya Bwana.Ile ilikuwa ni vita tofauti na ugaidi. Ni sawa na kuuliza tz ilivyoishambulia Uganda 1978/1979 nako ni ugaidi au la.
Tishio sana,ndio maana wanauwana Sudani ya kusini,na wale waislamu wa dhehebu LA katoliki na waprotestant,kule Ireland ya Kaskazini,wameuwana sana,lakini waislamu wale,ni wa damu ya Bwana,sio magaidi.Uislamu ni tishio kwa amani ya dunia
Huyu ni mwenzetu,ana upako wa Bwana,sio gaidi.Damu ya Bwana inamlinda.Ameeni.Aliyoyafanya Hitler na kuuwa watu zaidi ya milioni sita nae alikuwa ni Mwarabu?
Au ule si ugaidi wa kimbari?
Hawa ni wenzetu katika Bwana,sio Magaidi,wameoteshwa na Bwana,sema Ameeni.Na wale Wamarekani waliowaua wahindi wekundu ( red Indians) million sabini (70,000,000) tuwaiteje wasamaria wema au magaidi wakubwa?
Hahaha...Kikwajuni OneHakuna ugaidi mkubwa kama ule alioufanyiwa mkombozi wetu,ili tusamehewe dhambi zetu,kwa kusalitiwa na Yuda.Bora yeye kakubali kufanyiwa ugaidi,lakini tumesamehewa dhambi zetu.Bwana asifiwe,Ameeni.
Uislam sio dini na nilishaeleza mara nyingi.Uislamu ni dini ya waarabu, kama unakataa hilo, basi kwaheri!